Ni upumbavu mkubwa kupeleka wachezaji muhimu kwenye kombe la milioni 15 halafu wanavunjwa miguu wanakosa michuano muhimu.
Binafsi niliona mwaka jana ujinga huo.
Utopolo kama kawaida yao wakalipa watu wawaumize wachezaji wa Simba kwenye michuano hiyo ili wao wapete kwenye ligi.
Kibaya zaidi walitaka Simba iharibu pia kimataifa.
Nawashukuru viongozi wa Simba kuona hilo.Ni mashindano ya kuoneshana undava undava tu.Waamuzi hawatoi kadi nadhani wana maelekezo.Kwa nini upeleke kikosi muhimu?
Sent from my Infinix X626 using
JamiiForums mobile app