Simba na Yanga zijifunze kwa Azam

Yanga na Simba waige Upumbavu wa kupenda vya bure? Kuna vitu vya kuiga lakini siyo hicho.
 
Kwa hiyo we umeona hilo la kuingiza watu bule uwanjani ndo la kujifunza!! Hao azam hawana mashabiki ndo mana,, lakini laiti kama wangekuwa na mashabiki wengi kama simba sports club wawakilishi wa kweli wa kimataifa nchi hii wasingefanya hivyo.
Aisha habari ndugu yangu
 
Ulitaka kusema hilo la dini tu, hayo mengine ni mapambo tu, sawa wamekusikia watakwenda wasio na dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…