FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Habari za muda huu ndugu zangu,
Nmekuja hapa mbele zenu kama shabiki lia lia wa Azam FC. Hii timu naipenda, inaongozwa kisomi sana, na haina uswahili wa kijinga japo kidogo imeegemea kwenye udini sababu wafanyakazi wengi ni.... .
Tuje kwenye mada, naomba Simba na Yanga zijifunze utamaduni wa Azam kutotegemea makusanyo ya getini. Sasa hivi Azam wamekuja na mbinu, ukiwa na jezi tu unaingia uwanjani bure kabisa.
Najua ata mashabiki wa Simba na Yanga watanunua kujionea soka safi, nani asiyependa kumuona Kipre Jr?
Lazima mtanunua jezi, mtakuja Chamanzi na kidogo mtakuwa 'Azam fans by assimilation'.
Acheni kutegemea makusanyo ya getini Simba na Yanga, siku moja moja tumieni ubunifu wa Azam, mwenye jezi aingie bure.
Nmekuja hapa mbele zenu kama shabiki lia lia wa Azam FC. Hii timu naipenda, inaongozwa kisomi sana, na haina uswahili wa kijinga japo kidogo imeegemea kwenye udini sababu wafanyakazi wengi ni.... .
Tuje kwenye mada, naomba Simba na Yanga zijifunze utamaduni wa Azam kutotegemea makusanyo ya getini. Sasa hivi Azam wamekuja na mbinu, ukiwa na jezi tu unaingia uwanjani bure kabisa.
Najua ata mashabiki wa Simba na Yanga watanunua kujionea soka safi, nani asiyependa kumuona Kipre Jr?
Lazima mtanunua jezi, mtakuja Chamanzi na kidogo mtakuwa 'Azam fans by assimilation'.
Acheni kutegemea makusanyo ya getini Simba na Yanga, siku moja moja tumieni ubunifu wa Azam, mwenye jezi aingie bure.