Simba na Yanga zimetutia ujinga mwingi

Kufatilia Simba na Yanga ni moja ya ujinga

Mtu makini anaangilia EPL au LALIGA na sio upuuzi

Nunua Tv yako flat screen nchi 50 nunua DStv yako then watch the game.
Wahaya Mtabadilika lini nyie??? So watugambile stupid mshaija kisa kuangalia ligi ya Tanzania?
 
Very Critical.
Timu za Tanzania zinaenda Worl Cup za levels ambazo hazina Mvuto.
Mfano;
World Cup ya Watoto wa Mtaani/Chokoraa.
Word Cup ya Watu wenye Ulemavu.
World Cup ya Viziwi.
World Cup ya Wanawake nk. Sasa mtoa uzi unataka tushabikie vitu ambavyo wenzetu hawspeleki hata timu????
Soooon tutaletewa WORLD CUP YA MAKAHABA NA MASHOGA nauo tutafika Fainali na mtataka tuiongeleee kwenye media.
Kwanini si World Cup ya Timu iliyokamili ya Taifa Stars ndicho Watanzania tunataka! Sio hizo mabonanza hapi juuu.
Anyway Jumapili hakuna MBA MBA MBAAAAAAA
 
Watangazaji wengi hawana taarifa za nje maana hawaijui lugha ya Malkia na si watafiti

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada naomba wewe kama wewe unitajie majina ya wachezaji watano wa hiyo timu ya wanawake na nafasi wanazocheza pamoja na club walizotoka
 
Tatizo ni kwamba wanawake na vilema hawathaminiwi.

Hata soccer yao inaonekana kama si soka kamili.

Na hii si kwenye vyombo vya habari tu, hata kwenye jamii.

Ukisikiliza mazungumzo mengi huwezi kusikua soka la wanawake au walemavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…