Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwanza nikiri mechi ya Jana kati ya Simba na Al hilal sikuangalia Kwa lakini kutokana na mazingira nilikuwa sehemu za kugonga vyombo.
Lakini nimejifunza kitu Watanzania tuna ukarimu wa kiboya sana, tunawakarimu wageni wakija kwetu lakini tukienda kwao ni tofauti.
Kwa mechi kama ya Jana tena friend game sikutarajia kuona tension kama ile kana kwamba kuna kitu mnagombania wakati ni mechi tu za kuangalia vikosi vyenu.
Sasa wahuni kama hawa kama watakuja kukutana na Yanga ni watu wa kumalizana nao Dar, tumechoka ukondoo wa kila siku timu za Tanzania kufanyiwa uhuni ila wao wakija kwetu wana kuwa Salama.
Kama mechi ya Jana ilikuwa si ya kugombea chochote watu wanataka kutoana roho inakuwaje wahuni kama hawa ucheze nao wakiwa wanataka kufuzu?
Tubadilike Sasa tuachane na ukondoo.
Lakini nimejifunza kitu Watanzania tuna ukarimu wa kiboya sana, tunawakarimu wageni wakija kwetu lakini tukienda kwao ni tofauti.
Kwa mechi kama ya Jana tena friend game sikutarajia kuona tension kama ile kana kwamba kuna kitu mnagombania wakati ni mechi tu za kuangalia vikosi vyenu.
Sasa wahuni kama hawa kama watakuja kukutana na Yanga ni watu wa kumalizana nao Dar, tumechoka ukondoo wa kila siku timu za Tanzania kufanyiwa uhuni ila wao wakija kwetu wana kuwa Salama.
Kama mechi ya Jana ilikuwa si ya kugombea chochote watu wanataka kutoana roho inakuwaje wahuni kama hawa ucheze nao wakiwa wanataka kufuzu?
Tubadilike Sasa tuachane na ukondoo.