Simba na Yanga zipewe heshima kubwa kwenye ligi, mgao mkubwa

Simba na Yanga zipewe heshima kubwa kwenye ligi, mgao mkubwa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wadhamini wa legi na timu zote kwenye ligi wananufaika kupitia Simba na Yanga. Mapato ya viwanjani ya timu zote yanapatikana wanapocheza na Simba na Yanga. Washabiki wananunua visimbuzi na vifurushi ili kuona mechi za Simba na Yanga zinapocheza na timu nyingine au zinapokutana wenyewe.

TFF, wadhamini na timu zote Kuna heshima maalum lazima wawape Simba na Yanga.

Mdhamini mkuu wape fungu maalum Simba na Yanga. TFF angalia ratiba ya Simba na Yanga. Timu ndogo waheshimuni ng'ombe wenu wa maziwa Simba na Yanga, maana bila wao hakuna viingilio Wala wadhamini kwenu.
 
Wadhamini wa legi na timu zote kwenye ligi wananufaika kupitia Simba na Yanga. Mapato ya viwanjani ya timu zote yanapatikana wanapocheza na Simba na Yanga. Washabiki wananunua visimbuzi na vifurushi ili kuona mechi za Simba na Yanga zinapocheza na timu nyingine au zinapokutana wenyewe.

TFF, wadhamini na timu zote Kuna heshima maalum lazima wawape Simba na Yanga.

Mdhamini mkuu wape fungu maalum Simba na Yanga. TFF angalia ratiba ya Simba na Yanga. Timu ndogo waheshimuni ng'ombe wenu wa maziwa Simba na Yanga, maana bila wao hakuna viingilio Wala wadhamini kwenu.
Kuna kipindi ilikuwa hivyo ila wakabadili, mtindo wa sasa unazisaidia timu ndogo kujinasua kiuchumi
 
Kuna kipindi ilikuwa hivyo ila wakabadili, mtindo wa sasa unazisaidia timu ndogo kujinasua kiuchumi
Washabiki wanaowapa pesa na mileage ni wale wa Simba na Yanga kwenye mechi zao dhidi ya Simba na Yanga. Kwanini hizi timu zisiamnulie chochote kwenye mapato Yale mikoani? Juzi nilikuwa naangalia mechi ya Azam na coastal union pale Zanzibar ya ngao ya jamii, uwanjani hakukua na watu wengi. Ingekuwa tofaiti kama timu Moja ingekuwa Simba au Yanga. Timu za Yanga na Simba zinanyonywa kwenye ligi, zinatumia gharama kubwa sana kuliko mapato.
 
Siku moja nilikuwa nakisikia kichambuzi kimoja kikilalamika kwenye redio ya mtu, eti kwanini na Simba na Yanga hazipangiwi ratiba ya kucheza mechi za saa 8 mchana kama timu nyingine? Kimebana pua eti kinaona kimetoa hoja kwenye jamii. Yaani kinataka maelfu na maelfu ya watanzania mashabiki wa timu hizi wakapigwe na jua uwanjani saa 8 mchani, kikosi cha gharama kubwa kikapigwe na jua saa 8 mchana sawa na Ihefu au mtibwa.
 
Washabiki wanaowapa pesa na mileage ni wale wa Simba na Yanga kwenye mechi zao dhidi ya Simba na Yanga. Kwanini hizi timu zisiamnulie chochote kwenye mapato Yale mikoani? Juzi nilikuwa naangalia mechi ya Azam na coastal union pale Zanzibar ya ngao ya jamii, uwanjani hakukua na watu wengi. Ingekuwa tofaiti kama timu Moja ingekuwa Simba au Yanga. Timu za Yanga na Simba zinanyonywa kwenye ligi, zinatumia gharama kubwa sana kuliko mapato.
Una kichwa kigumu mzee, wameweka kila timu mwenyeji kuchukua mapato yote kuwasaidia timu ndogo kupata chochote, hizo simba na yanga zina wadhamini kibao
 
Siku moja nilikuwa nakisikia kichambuzi kimoja kikilalamika kwenye redio ya mtu, eti kwanini na Simba na Yanga hazipangiwi ratiba ya kucheza mechi za saa 8 mchana kama timu nyingine? Kimebana pua eti kinaona kimetoa hoja kwenye jamii. Yaani kinataka maelfu na maelfu ya watanzania mashabiki wa timu hizi wakapigwe na jua uwanjani saa 8 mchani, kikosi cha gharama kubwa kikapigwe na jua saa 8 mchana sawa na Ihefu au mtibwa.
Ligi inaendeshwa kwa usawa,
Haitakiwi kuonekana fulan anabebwa, kufanya hivo ni kuamua bingwa mapema,
 
Washabiki wanaowapa pesa na mileage ni wale wa Simba na Yanga kwenye mechi zao dhidi ya Simba na Yanga. Kwanini hizi timu zisiamnulie chochote kwenye mapato Yale mikoani? Juzi nilikuwa naangalia mechi ya Azam na coastal union pale Zanzibar ya ngao ya jamii, uwanjani hakukua na watu wengi. Ingekuwa tofaiti kama timu Moja ingekuwa Simba au Yanga. Timu za Yanga na Simba zinanyonywa kwenye ligi, zinatumia gharama kubwa sana kuliko mapato.
Wewe unazingua, kwan simba na yanga zikiwa dar kuna mtu anachukua mapato?
 
Una kichwa kigumu mzee, wameweka kila timu mwenyeji kuchukua mapato yote kuwasaidia timu ndogo kupata chochote, hizo simba na yanga zina wadhamini kibao
Nalijua hilo, timu mwenyeji anapata mapato mengi kwenye mechi za Simba na Yanga TU. Kwanini usizishukuru na kuziheshimu Simba na Yanga?
 
Wewe unazingua, kwan simba na yanga zikiwa dar kuna mtu anachukua mapato?
Kama hujaielewa mada tulia kwanza na uheme kwa nguvu. Washibiki mikoani wanaingia wengi viwanjani kuziona Simba na Yanga zinapocheza na timu zao. Wanapata mapato yao indirectly kupitia Simba na Yanga, hivyo Simba na Yanga lazima zitizamwe kwa jicho tofaiti kwenye ligi na kwenye mapato.
 
Wewe unazingua, kwan simba na yanga zikiwa dar kuna mtu anachukua mapato?
Jiongeze kaka. Pesa wanazopewa hawa timu nyingine wakiwa uwanja wa nyumbani ni pesa za simba/yanga zinazotokana Na fans wao. Ndiyo maana zikicheza Na.timu nyingine nje y simba. Na yanga
 
Back
Top Bottom