Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtasema yote mwaka huuMgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Mbona habari za Zoran ililipotiwa mapema sana na mchambuzi mmoja hivi anajiita PrivaMgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Ukweli ndio huo,tumejua habari ya mgunda akiwa airport akikwea mweweMtasema yote mwaka huu
Hamna Siri yoyote. Watu walishajua kitambo Zoran anafukuzwa. Kaangalie kipindi cha uchambuzi wa habari za magazeti ya michezo pale Azam Sport1 HD tarehe 03/09/2022 halafu urudi uone uharo wako.Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Sio kweli barua ilikuwa ishatokaMbona habari za Zoran ililipotiwa mapema sana na mchambuzi mmoja hivi anajiita Priva
Huyu cheupe aliripoti wapi? Ushahidi usio na shaka itapendezaMbona habari za Zoran ililipotiwa mapema sana na mchambuzi mmoja hivi anajiita Priva
Zoran tangu jmos watu wanajua kuwa wanatemana na SimbaMbona habari za Zoran ililipotiwa mapema sana na mchambuzi mmoja hivi anajiita Priva
Mgunda kuna mkanganyiko upiKati ya Zoran na Simba nani alimtema mwenzake? Kuwa muwazi maana Simba walipoona taarifa ya Zoran kupata timu itatoka wakaona wao watangulie Ili ionekane katemwa.
Kuhusu Mgunda walikua kwenye mkanganyiko namna ya kutoa taarifa lakini licha ya kutoa taarifa pia mkanganyiko unaendelea
Ndio hivyoNi kweli wanatunza siri, kama waliweza kumficha Vunjabei kuhusu mdhamini mpya akaenda Ku print Sportpesa badala ya Mbet
Priva aliandika tetesi na sio habari kamiliMbona habari za Zoran ililipotiwa mapema sana na mchambuzi mmoja hivi anajiita Priva
Kwahiyo mnapata manufaa gani Kwa kuitunza Siri zisizo na manufaa Wala athari hata kama zikivuja. Mbumbumbu koloMgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
We ukitoombana na mchepuko unataka kila mtu ajueKwahiyo mnapata manufaa gani Kwa kuitunza Siri zisizo na manufaa Wala athari hata kama zikivuja. Mbumbumbu kolo
Angalia muda wa hizo screenshotHuyu cheupe aliripoti wapi? Ushahidi usio na shaka itapendeza
Sasa kwani hujui kuwa tetesi sindo zinakuwa taarifa kamili zikiwa confirmedPriva aliandika tetesi na sio habari kamili
Tofauti ya dakika chacheAngalia muda wa hizo screenshot