Simba nawasifu kwa kujua kutunza siri

Simba nawasifu kwa kujua kutunza siri

😅😂 nyie ma mbwa unadhan nani anakubali aibu ya kumtangaza kocha wa ndondo cup mapema hadharani... Mgunda kwake mtajifunza uchawi tu
 
😅😂 nyie ma mbwa unadhan nani anakubali aibu ya kumtangaza kocha wa ndondo cup mapema hadharani... Mgunda kwake mtajifunza uchawi tu
Acheni ubaguzi nyie kenge mgunda nae ni mtu
 
Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.

Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.

Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Na la Mgunda kutokuwa na Cheti nalo ni Siri. Hii timu Kwa Siri ni kiboko.
Sasa anakuja kocha wa timu halisi ya Simba yaani Simba Queens Nkoma. Nayo ni Siri.
 
Na la Mgunda kutokuwa na Cheti nalo ni Siri. Hii timu Kwa Siri ni kiboko.
Sasa anakuja kocha wa timu halisi ya Simba yaani Simba Queens Nkoma. Nayo ni Siri.
Acha ubaguzi kenge weww
 
Kati ya Zoran na Simba nani alimtema mwenzake? Kuwa muwazi maana Simba walipoona taarifa ya Zoran kupata timu itatoka wakaona wao watangulie Ili ionekane katemwa.

Kuhusu Mgunda walikua kwenye mkanganyiko namna ya kutoa taarifa lakini licha ya kutoa taarifa pia mkanganyiko unaendelea
Umeelewa mada? Umekurupuka vibaya sana.
 
Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.

Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.

Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Kweli kabisa! Nasikia hata kocha wa Simba Queens naye ameibukia Malawi kwa siri kwenda kuongeza nguvu! Hakuna hata aliyejua.
 
Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.

Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.

Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Kocha gani huyo asiye na vyeti...
 
Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.

Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.

Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Na mzungu pori yuko humu ana ID kibao anajiita dawa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Basi tusubiri wao kupewa kombe la watunza siri maana ndo kitu wanakiweza sana kwa sasa.
 
Back
Top Bottom