Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
lisaa na dakika 30+Tofauti ya dakika chache
Acheni ubaguzi nyie kenge mgunda nae ni mtuπ π nyie ma mbwa unadhan nani anakubali aibu ya kumtangaza kocha wa ndondo cup mapema hadharani... Mgunda kwake mtajifunza uchawi tu
Mgunda hata hiyo leseni ya Daraja A hana, ukolo mtupuUkweli ndio huo,tumejua habari ya mgunda akiwa airport akikwea mwewe
Na la Mgunda kutokuwa na Cheti nalo ni Siri. Hii timu Kwa Siri ni kiboko.Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
We ni natakroo na mbaguzi huna pointMgunda hata hiyo leseni ya Daraja A hana, ukolo mtupu
Acha ubaguzi kenge wewwNa la Mgunda kutokuwa na Cheti nalo ni Siri. Hii timu Kwa Siri ni kiboko.
Sasa anakuja kocha wa timu halisi ya Simba yaani Simba Queens Nkoma. Nayo ni Siri.
Umeelewa mada? Umekurupuka vibaya sana.Kati ya Zoran na Simba nani alimtema mwenzake? Kuwa muwazi maana Simba walipoona taarifa ya Zoran kupata timu itatoka wakaona wao watangulie Ili ionekane katemwa.
Kuhusu Mgunda walikua kwenye mkanganyiko namna ya kutoa taarifa lakini licha ya kutoa taarifa pia mkanganyiko unaendelea
Kweli kabisa! Nasikia hata kocha wa Simba Queens naye ameibukia Malawi kwa siri kwenda kuongeza nguvu! Hakuna hata aliyejua.Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Ndii hivyo,tumejua akiwa malawi.sirisiriniKweli kabisa! Nasikia hata kocha wa Simba Queens naye ameibukia Malawi kwa siri kwenda kuongeza nguvu! Hakuna hata aliyejua.
Kocha gani huyo asiye na vyeti...Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani
Tatizo kocha Juma Mgunda naye alifanya siri. Ila mwisho wa siku siri ya vyeti vyake nayo imebumbuluka.Kocha gani huyo asiye na vyeti...
We unavyoKocha gani huyo asiye na vyeti...
Nionavyo vya fani yangu.We unavyo
Yaani pesa feki na bidhaa feki.Tatizo kocha Juma Mgunda naye alifanya siri. Ila mwisho wa siku siri ya vyeti vyake nayo imebumbuluka.
Na mzungu pori yuko humu ana ID kibao anajiita dawa.Mgunda tulipata habari zake akiwa airport hakuna cha gazeti wala wacha mbuzi uchwara waliojua kinachoendelea.
Zoran pia ilikuwa ni suprise ya hatari kuwa katemwa.
Yule mzungu pori ndio alikuwa akivujisha siri za chumbani