gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Hadi sasa hivi "SIMBA" ndio timu pekee iliyompiga mtu 5g sio uto wala matawi yake.
Mechi ya 14 hii uto wanajaribu kuivunja rekodi ya simba wanashindwa wanaishia kujinyea tu uwanjani.
Wameshinda lakini hawana furaha kwasababu ushindi wao haujawasaidia chochote coz wameendelea kubakia kwenye nafasi yao ya mwisho huko na kina kengold sisi tupo juu tunapulizwa na baridi.
"SIMBA BINGWA"
"UBAYA UBWELA"
Mechi ya 14 hii uto wanajaribu kuivunja rekodi ya simba wanashindwa wanaishia kujinyea tu uwanjani.
Wameshinda lakini hawana furaha kwasababu ushindi wao haujawasaidia chochote coz wameendelea kubakia kwenye nafasi yao ya mwisho huko na kina kengold sisi tupo juu tunapulizwa na baridi.
"SIMBA BINGWA"
"UBAYA UBWELA"