Simba ndio timu pekee msimu huu kwenye ligi yenye uwezo wa kushinda goli tano(5).

Simba ndio timu pekee msimu huu kwenye ligi yenye uwezo wa kushinda goli tano(5).

Ungekuwa unaongoza ligi ata kwa tofauti ya point 4 ungekuwa na cha kutambia but tofauti ya point 1 unapiga domo? Ulikuwa unaongoza kwa tofauti ya magoli ya kufunga 24 kwa 13 ya yanga,,sasa Leo imebaki goal difference ya 21 kwa 25 ulitegemea icho kitokee? Basi ata iyo point Moja uliyonayo ni suala la muda tu utakalishwa siku sio nyingi!
Sio kwa simba hii, wewe mpira haujui ila umekariri kwakuwa yanga alikuwa bingwa msimu uliopita basi atakuwa bingwa tena msimu huu bila hata kuangalia ubora wa simba.

Mjomba simba hii ni bora kuliko simba ya misimu 3 iliyopita kwahyo usikariri utaumia.
 
Sio kwa simba hii, wewe mpira haujui ila umekariri kwakuwa yanga alikuwa bingwa msimu uliopita basi atakuwa bingwa tena msimu huu bila hata kuangalia ubora wa simba.

Mjomba simba hii ni bora kuliko simba ya misimu 3 iliyopita kwahyo usikariri utaumia.
Wacha tusubilie huo ubingwa mtaobeba si tupo hapa,,bado amjawa na timu ya ubingwa na kama unabisha kawaulize wenzako wanaojielewa watakwambia,,kwa namna timu yako inavyocheza pigeni sana maombi
 
Hadi sasa hivi "SIMBA" ndio timu pekee iliyompiga mtu 5g sio uto wala matawi yake.

Mechi ya 14 hii uto wanajaribu kuivunja rekodi ya simba wanashindwa wanaishia kujinyea tu uwanjani.

Wameshinda lakini hawana furaha kwasababu ushindi wao haujawasaidia chochote coz wameendelea kubakia kwenye nafasi yao ya mwisho huko na kina kengold sisi tupo juu tunapulizwa na baridi.

"SIMBA BINGWA"

"UBAYA UBWELA"
Sasa Ili hizo 5 zinoge zaidi inabidi muipige na Yanga 5 kama vile nyinyi mlivyo pigwa 5 msimu uliyopita
 
Sio kwa simba hii, wewe mpira haujui ila umekariri kwakuwa yanga alikuwa bingwa msimu uliopita basi atakuwa bingwa tena msimu huu bila hata kuangalia ubora wa simba.

Mjomba simba hii ni bora kuliko simba ya misimu 3 iliyopita kwahyo usikariri utaumia.
Simba hii haija cheza na Yanga msimu huu?
 
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Rage aliona mbali sana.
 
1735269169326.jpg
 
Back
Top Bottom