Sio kwa simba hii, wewe mpira haujui ila umekariri kwakuwa yanga alikuwa bingwa msimu uliopita basi atakuwa bingwa tena msimu huu bila hata kuangalia ubora wa simba.Ungekuwa unaongoza ligi ata kwa tofauti ya point 4 ungekuwa na cha kutambia but tofauti ya point 1 unapiga domo? Ulikuwa unaongoza kwa tofauti ya magoli ya kufunga 24 kwa 13 ya yanga,,sasa Leo imebaki goal difference ya 21 kwa 25 ulitegemea icho kitokee? Basi ata iyo point Moja uliyonayo ni suala la muda tu utakalishwa siku sio nyingi!
Wacha tusubilie huo ubingwa mtaobeba si tupo hapa,,bado amjawa na timu ya ubingwa na kama unabisha kawaulize wenzako wanaojielewa watakwambia,,kwa namna timu yako inavyocheza pigeni sana maombiSio kwa simba hii, wewe mpira haujui ila umekariri kwakuwa yanga alikuwa bingwa msimu uliopita basi atakuwa bingwa tena msimu huu bila hata kuangalia ubora wa simba.
Mjomba simba hii ni bora kuliko simba ya misimu 3 iliyopita kwahyo usikariri utaumia.
Sasa Ili hizo 5 zinoge zaidi inabidi muipige na Yanga 5 kama vile nyinyi mlivyo pigwa 5 msimu uliyopitaHadi sasa hivi "SIMBA" ndio timu pekee iliyompiga mtu 5g sio uto wala matawi yake.
Mechi ya 14 hii uto wanajaribu kuivunja rekodi ya simba wanashindwa wanaishia kujinyea tu uwanjani.
Wameshinda lakini hawana furaha kwasababu ushindi wao haujawasaidia chochote coz wameendelea kubakia kwenye nafasi yao ya mwisho huko na kina kengold sisi tupo juu tunapulizwa na baridi.
"SIMBA BINGWA"
"UBAYA UBWELA"
Kama inavyokuaga tukikutana na vijana wa Ragesasa Leo ilikuwa mbuzi wa bwana heri wanachunga kwenye shamba la bwana heri
Hizi ni threads za kujihami wanajua nini kinafuata soonMuda si mrefu vilio vya kumkataa Mangungu, vitaanza tena.
Simba hii haija cheza na Yanga msimu huu?Sio kwa simba hii, wewe mpira haujui ila umekariri kwakuwa yanga alikuwa bingwa msimu uliopita basi atakuwa bingwa tena msimu huu bila hata kuangalia ubora wa simba.
Mjomba simba hii ni bora kuliko simba ya misimu 3 iliyopita kwahyo usikariri utaumia.
Ligi imeisha au mwaka huu ndio mmeongoza kwa mara ya kwanza?Naongoza ligi leta stori nyingine.
Aliona mbali sana anamiliki wafuasi wa Kila ainaπ€£π€£ππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Rage aliona mbali sana.
Nadhan hawajakuelewa vizuri, hebu wape maelezo kwa kina..Na yanga awakutaka kuchafua ubao wameweka 5-0 saaafi,,wengine 5-2 ukitoa 2 unabaki na 3-0
Maelezo ni kwamba wao walishinda 5 lakini wakaruhusu 2,,kwa maana iyo ukitoa 2 walizoruhusu unabaki na 3, lakini wenzao wamemkanda mtu 5 bila kudaiwa chochote!ποΈποΈποΈποΈNadhan hawajakuelewa vizuri, hebu wape maelezo kwa kina..