Simba ndio timu pekee ya Tanzania iliyowahi kufanya "come back" ya kibabe katika mashindano ya CAF

Simba ndio timu pekee ya Tanzania iliyowahi kufanya "come back" ya kibabe katika mashindano ya CAF

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mwaka 1979, Simba Sc ya Tanzania ilipangwa kucheza na klabu ya Mufulira Wanderers ya Zambia katika michuano ya CAF.

Mechi ya kwanza katika dimba la taifa ( sasa uhuru ) Simba likufa 4-0

Mashabiki walisononeka sana wakaisusa timu yao. Kikosi kikaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano.

Simba wakasafiri kuelekea Zambia kimya kimya bila presha wala nini. Siku ya mechi ikawadia huku wakiwa hawana cha kupoteza.

Umma wa mashabiki wa soka nchini Zambia wakajitokeza kwa wingi katika dimba la Independence kushuhudia mchezo huo huku wakiongozwa na Rais wa wakati huo, Kenneth Kaunda almaarufu kama "KK"

Simba chini ya kocha mzawa marehemu Joel Bendera wakafanya come back ya kushangaza.

Mufulira akafa 5-0 mbele ya Rais Kenneth Kaunda. Wachezaji wa Simba waling'aa sana wakiongozwa na George Kulagwa "Best" na Thuwein Ally ambao walikuwa ni sehemu ya wafungaji siku hiyo.

Nimeandika hayo kukumbushia kuwa come back sii jambo rahisi kama baadhi wanavyodhani kuelekea bonanza la jumamosi usiku.
 
Msitufunge kamba Enzi hizo tulikuwa hatuna TV wala smartphone. Mwakani fanya jitihada mpindue takwimu za Yanga.
 
Mwaka 1979, Simba Sc ya Tanzania ilipangwa kucheza na klabu ya Mufulira Wanderers ya Zambia katika michuano ya CAF.

Mechi ya kwanza katika dimba la taifa ( sasa uhuru ) Simba likufa 4-0

Mashabiki walisononeka sana wakaisusa timu yao. Kikosi kikaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano.

Simba wakasafiri kuelekea Zambia kimya kimya bila presha wala nini. Siku ya mechi ikawadia huku wakiwa hawana cha kupoteza.

Umma wa mashabiki wa soka nchini Zambia wakajitokeza kwa wingi katika dimba la Independence kushuhudia mchezo huo huku wakiongozwa na Rais wa wakati huo, Kenneth Kaunda almaarufu kama "KK"

Simba chini ya kocha mzawa marehemu Joel Bendera wakafanya come back ya kushangaza.

Mufulira akafa 5-0 mbele ya Rais Kenneth Kaunda. Wachezaji wa Simba waling'aa sana wakiongozwa na George Kulagwa "Best" na Thuwein Ally ambao walikuwa ni sehemu ya wafungaji siku hiyo.

Nimeandika hayo kukumbushia kuwa come back sii jambo rahisi kama baadhi wanavyodhani kuelekea bonanza la jumamosi usiku.
Unaleta ngonjera za zama za Giza wakati wachezaji wanacheza tumbo wazi?

Anayetowa mpira akiwahi anarusha yeye, kipa anaruka na silaha.
 
Nyee nyee nyeee mtaongea hadi ya mwaka 1881
 
Simba pekee ndiyo team ambayo mashabik wake wamevuliwa ubingwa 🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈
 
Mwaka 1979, Simba Sc ya Tanzania ilipangwa kucheza na klabu ya Mufulira Wanderers ya Zambia katika michuano ya CAF.

Mechi ya kwanza katika dimba la taifa ( sasa uhuru ) Simba likufa 4-0

Mashabiki walisononeka sana wakaisusa timu yao. Kikosi kikaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano.

Simba wakasafiri kuelekea Zambia kimya kimya bila presha wala nini. Siku ya mechi ikawadia huku wakiwa hawana cha kupoteza.

Umma wa mashabiki wa soka nchini Zambia wakajitokeza kwa wingi katika dimba la Independence kushuhudia mchezo huo huku wakiongozwa na Rais wa wakati huo, Kenneth Kaunda almaarufu kama "KK"

Simba chini ya kocha mzawa marehemu Joel Bendera wakafanya come back ya kushangaza.

Mufulira akafa 5-0 mbele ya Rais Kenneth Kaunda. Wachezaji wa Simba waling'aa sana wakiongozwa na George Kulagwa "Best" na Thuwein Ally ambao walikuwa ni sehemu ya wafungaji siku hiyo.

Nimeandika hayo kukumbushia kuwa come back sii jambo rahisi kama baadhi wanavyodhani kuelekea bonanza la jumamosi usiku.
Comeback pekee tuliyowahi kushuhudia ni Ile ya Janweng Galaxy....
Mechi ya Kwanza Simba a.k.a Kolowizards alishinda 2-0 huko ughaibuni kabla ya kuja kupakatwa Goli 3-1 uwanja wa taifa
 
Simba wakasafiri kuelekea Zambia kimya kimya bila presha wala nini. Siku ya mechi ikawadia huku wakiwa hawana cha kupoteza.
Hayo maneno niliyoyaqoute ni muhimu sana. Moja ya kosa kubwa watakalofanya Yanga ni kutumia ndege moja kusafirisha mashabiki na wachezaji. Kipindi hiki wachezaji walihitaji utulivu wa hali ya juu, wasingekuwa na contact yoyote na mashabiki wala media. Sio timu inasafiri, safari nzima kelele kwenye ndege, wakifika huko protocol kibao. Ila ngoja tuone....
 
Kuna uvumi nausikia huko kwenu kuwa kuna kundi lina jadili kuhusu kupindua meza Algeria

Niwakumbushe tu kuwa huku Algeria tunatumia meza za aina hii.
mzaram_simba-20230531-0001.jpg~2.jpg
 
Mwaka 1979, Simba Sc ya Tanzania ilipangwa kucheza na klabu ya Mufulira Wanderers ya Zambia katika michuano ya CAF.

Mechi ya kwanza katika dimba la taifa ( sasa uhuru ) Simba likufa 4-0

Mashabiki walisononeka sana wakaisusa timu yao. Kikosi kikaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano.

Simba wakasafiri kuelekea Zambia kimya kimya bila presha wala nini. Siku ya mechi ikawadia huku wakiwa hawana cha kupoteza.

Umma wa mashabiki wa soka nchini Zambia wakajitokeza kwa wingi katika dimba la Independence kushuhudia mchezo huo huku wakiongozwa na Rais wa wakati huo, Kenneth Kaunda almaarufu kama "KK"

Simba chini ya kocha mzawa marehemu Joel Bendera wakafanya come back ya kushangaza.

Mufulira akafa 5-0 mbele ya Rais Kenneth Kaunda. Wachezaji wa Simba waling'aa sana wakiongozwa na George Kulagwa "Best" na Thuwein Ally ambao walikuwa ni sehemu ya wafungaji siku hiyo.

Nimeandika hayo kukumbushia kuwa come back sii jambo rahisi kama baadhi wanavyodhani kuelekea bonanza la jumamosi usiku.
ilikuwa hatua gani?afu klabu yenyewe Mafulira...kweli mda mwingine bora kuchagua andazi
 
Mwaka 1979, Simba Sc ya Tanzania ilipangwa kucheza na klabu ya Mufulira Wanderers ya Zambia katika michuano ya CAF.

Mechi ya kwanza katika dimba la taifa ( sasa uhuru ) Simba likufa 4-0

Mashabiki walisononeka sana wakaisusa timu yao. Kikosi kikaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano.

Simba wakasafiri kuelekea Zambia kimya kimya bila presha wala nini. Siku ya mechi ikawadia huku wakiwa hawana cha kupoteza.

Umma wa mashabiki wa soka nchini Zambia wakajitokeza kwa wingi katika dimba la Independence kushuhudia mchezo huo huku wakiongozwa na Rais wa wakati huo, Kenneth Kaunda almaarufu kama "KK"

Simba chini ya kocha mzawa marehemu Joel Bendera wakafanya come back ya kushangaza.

Mufulira akafa 5-0 mbele ya Rais Kenneth Kaunda. Wachezaji wa Simba waling'aa sana wakiongozwa na George Kulagwa "Best" na Thuwein Ally ambao walikuwa ni sehemu ya wafungaji siku hiyo.

Nimeandika hayo kukumbushia kuwa come back sii jambo rahisi kama baadhi wanavyodhani kuelekea bonanza la jumamosi usiku.
Ilikuwa comeback ya FAINALI??
 
Back
Top Bottom