Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Baba Jeny bye bye
Wakati stori kubwa ikiwa ni Inonga na Mayele huku wakisahau pia kulikuwa na Chama ambae hakufurukuta mbele ya kibwana, wakati wakisema kuwa hajatetema wanasahau kuwa Morison alikuwa mchezaji wa 12 wa Yanga ( alikuwa msaada zaidi ya Yanga kuliko Simba kwa wale waliofuatilia mchezo kwa jicho la tatu), wakati watu walimsifu Inonga wanajisahaulisha kuwa Mugalu,Bocco na Chama walikuwa na zero impact. Hili ndilo tatizo la kutocheza na hesabu. Alichokuwa anafanya Inonga ni Sawa na mashindano ya kuchagua kikosi cha Timu ya Taifa na sio kuipigania timu kutetea Ubingwa. Anacheza Sana na jukwaa badala ya kucheza na hesabu.
Hii mechi ilikua Ina umuhimu zaidi kwa Simba kuliko Yanga. Niliwashangaa mashabiki pamoja na beki Inonga kuishangilia kwa nguvu zote baada ya dakika 90 huku wakisahau kuwa gap linabaki vile vile. Hii inaiwekea Yanga nafasi nzuri ya kutwaa Ubingwa.
Nilidhani Simba watahuzunika sana kwa Sababu hata kama Yanga wangetwaa Ubingwa lakini wao (Simba) kuwa timu ya Kwanza kuifunga Yanga msimu huu lingekuwa jambo la amani Sana miongoni mwa mioyo ya mamilioni ya wanasimba.
Kiufupi Ubingwa usingenoga. Kwa mantiki hiyo Simba Jana walifeli na Yanga walifaulu.
Wakati stori kubwa ikiwa ni Inonga na Mayele huku wakisahau pia kulikuwa na Chama ambae hakufurukuta mbele ya kibwana, wakati wakisema kuwa hajatetema wanasahau kuwa Morison alikuwa mchezaji wa 12 wa Yanga ( alikuwa msaada zaidi ya Yanga kuliko Simba kwa wale waliofuatilia mchezo kwa jicho la tatu), wakati watu walimsifu Inonga wanajisahaulisha kuwa Mugalu,Bocco na Chama walikuwa na zero impact. Hili ndilo tatizo la kutocheza na hesabu. Alichokuwa anafanya Inonga ni Sawa na mashindano ya kuchagua kikosi cha Timu ya Taifa na sio kuipigania timu kutetea Ubingwa. Anacheza Sana na jukwaa badala ya kucheza na hesabu.
Hii mechi ilikua Ina umuhimu zaidi kwa Simba kuliko Yanga. Niliwashangaa mashabiki pamoja na beki Inonga kuishangilia kwa nguvu zote baada ya dakika 90 huku wakisahau kuwa gap linabaki vile vile. Hii inaiwekea Yanga nafasi nzuri ya kutwaa Ubingwa.
Nilidhani Simba watahuzunika sana kwa Sababu hata kama Yanga wangetwaa Ubingwa lakini wao (Simba) kuwa timu ya Kwanza kuifunga Yanga msimu huu lingekuwa jambo la amani Sana miongoni mwa mioyo ya mamilioni ya wanasimba.
Kiufupi Ubingwa usingenoga. Kwa mantiki hiyo Simba Jana walifeli na Yanga walifaulu.