Simba nendeni Misri kukamilisha ratiba. Ukuta wa Yericko umegeuka kuwa ukuta wa biskuti, kila mechi bao

Zisipofika hizo 5
 
Uliyaona hayo matunguri? Imani potofu zimejaa kwenye mafuvu yenu, kipi cha ajabu? Yaani wao kukosa goli wamelogwa?

Ujinga mtupu, football imechezwa vizuri kwa ufundi.
Kwa hiyo na ihefu uchwai wao wametoka wapi!? Rais mwenyewe wa FIFA katumia muda kujifunza kauli mbiu ya Nguvu moja...Tumepishana mbele ya uongozi wote Africa na dunia Simba ni timu kubwa duniani...na tukienda kule ni kamoja Ka haja...
 
Masikini nyumamwiko mumeshasahau kuwa na nyie wanawasubiria kwenye makundi. Bora ukose mali lakini upate akili
 
Hizo ngonjera peleka kwa akina mama wenzio huko, huku hatuhitaji wanawake kwenye shughuli za kiume pitisheni bakuli kama ilivyo kawaida yenu tuwachangie mkalipie deni la upumbavu wenu, shwuaini
 
Masikini nyumamwiko mumeshasahau kuwa na nyie wanawasubiria kwenye makundi. Bora ukose mali lakini upate akili View attachment 2787633
Usiwe unafananisha kichuguu na mlima Babu, Kaa kwa kutulia usubilie iyo timu iliyokutoa kamasi itapokutana na wanaume yanga, najua ili kenge ajue amejuruiwa ni mpaka aone damu, mtafurahishwa siku sio nyingi!
 
Kama BODI ya SIMBA itaendelea kumvumilia huyu ROBERTNO, ..itakuwa ndiyo hivyo kabisa..

Tusubiri aibu ndipo mkurupuke....
 
Hao waarabu unaowasifia ndio hao hao tuliowaona au kulikuwepo na mechi nyingine unaangalia kwako?
 
Usiwe unafananisha kichuguu na mlima Babu, Kaa kwa kutulia usubilie iyo timu iliyokutoa kamasi itapokutana na wanaume yanga, najua ili kenge ajue amejuruiwa ni mpaka aone damu, mtafurahishwa siku sio nyingi!
Wewe kakune nazi tu umpikie mumeo ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…