Simba ni kubwa kuliko Kibu

Simba ni kubwa kuliko Kibu

ni sawa aende nachosema awaambie waziwazi sio kuwazungusha,mara niitieni kaka yangu,wakimleta anadai apewe pesa zaidi,wakimpa anakataa,hio sio sawa awajibu kuwa hatasaini kama hataki
Lazima awazungushe sababu Simba ndio wenye shida na yeye anaangalia maslahi yake.
Inaonekana Simba hawajafika kiasi anachohitaji!!!
 
Kama Simba ndio ilipofikia Basi viongozi waondoke, Kibu anaidengulia Simba sababu viongozi hawajui usajili mchezaji msimu mzima hafikishi hata goli 10 wa Nini.
Azam juzi kateremsha mchezaji kimyakimya au kwa sababu amewafunga yangu Mara mbili.
 
Baba ukishakua mjinga hata watoto wanakudharau ndio kilichopo Kwa Simba Viongozi wao ni wajinga hawajui hata kama kuna wachezaji Wana thamani ndogo na ni wazuri kuliko Kibu
 
Kama Simba ndio ilipofikia Basi viongozi waondoke, Kibu anaidengulia Simba sababu viongozi hawajui usajili mchezaji msimu mzima hafikishi hata goli 10 wa Nini.
Azam juzi kateremsha mchezaji kimyakimya au kwa sababu amewafunga yangu Mara mbili.
Goli 10 kibu, kibu ana goli Moja tu ligi na Moja CAF, kumi unaenda mbali sana
 
Acha akaangalie maisha bora zaidi unataka abakie simba yamkute yaliyo mkuta yule mchezaji wa Yanga Kelvin Yondan sahivi anavuta bange tu
 
Kibu hana kipya... Ila kwakuwa mpira wa Simba na yanga ni kukomoana.... Basi namuomba Rais wetu afanye kweli 😅😅😅. Aje akae hata benchi tutamtumia kwenye mechi zenye uhitaji wa mikimbio na nguvu.
Safi sana
 
Kama Simba ndio ilipofikia Basi viongozi waondoke, Kibu anaidengulia Simba sababu viongozi hawajui usajili mchezaji msimu mzima hafikishi hata goli 10 wa Nini.
Azam juzi kateremsha mchezaji kimyakimya au kwa sababu amewafunga yangu Mara mbili.
Kawafunga Yanga na nyinyi ndio mnategemea na kumpa sifa kila match ya Yanga ifikapo.
 
Kibu anaidengulia Simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana, Kibu aelewe Simba ni kubwa kuliko yeye.
Hakuna mchezaji mwenye vision kuhusu carrier yake atakubali kucheza Simba labda awe hana alternative .
 
Back
Top Bottom