Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaipata kwenye kijiwe cha kahawa.Hiyio habari ya kocha kuwakataa wachezaji umeipata wapi?
Ni wapi kocha au kiongozi wa Simba kaisema?
Kwa hiyo kocha akiondoka nafasi hiyo ya kocha uchukue wewe tuone maajabu yako?Kuna kila aina ya ushahidi kuwa Kocha mkuu wa Simba hahusiki na Usajili wa wachezaji hawa ndio maana hawataki baadhi yao, ni nani kapendekeza Usajili huu? Hapa ni kocha mkuu aondoke au kocha msaidizi aondoke,
Ingawa Simba inashinda mechi zake lakini kwa anaefahamu mpira ataona kuwa Simba inashinda kwa taabu sana. Natabiri kuwa mechi ya kutoka sare na kufungwa haiko mbali sana kutoka Sasa. Phili, okrah, okwa, Quatarà sio kivileee.Bocco Ihefu
Akpan Coast
Kapama mkopo timu haijulikani
Phiri sijui itakuaje
Chama hakamatiki
Okwa sijui itakuaje
Viongozi na nyie mkataeni Mzungu.
Hatujamalizaaa mlete Maki Zora.
We shugulika na yanga yako kama Simba kafanya. Usajili mbaya ni heri kwenuYanatuhusu bwashee, maana Raha ya Yanga ni ikiwepo Simba imara na kuifunga.