Habarini za Asubuhi wapendwa?
Leo nipo hapa kuongea kuhusukinachoendelea katika Club ya SIMBA. Viongozi wengi wa Simba especially Manara hana maono yoyote kuhusu mpira yupo kupiga kelele tu nina mashaka na Elimu yake ya darasani (asifanye niamini aliyosema Muro)
Boss wa Simba MO anathibitisha kuwa unaweza kuwa na mali ukakosa maarifa.
Kwanini nawaponda hawa watu?
Sababu wanashindwa kuelewa kuwa simba inaweza kufanyika kuwa daraja la kutoa wacheza kwenya kimataifa kuliko kukaa kukumbatia mizigo kama BOCCO. na KAGERE 36+ YEARS
Kwanini vijana kama Ajibu asiwe promoted?
Ndemla sawa hana nafasi ila hauwezi kuniambia Bocco ana uwezo kuliko Ajibu nikakuelewa. Kwa taarifa yenu tu uyo LUIS hana tofauti yeyote na KICHUYA ni kitendo cha mda tu.
Hata mkijitahidi kununua hamuwezi kufikia walipo Mazembe na wengine, mtajipotezea mda tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app