Simba ni 'threat' katika kukuza mpira Tanzania

Simba ni 'threat' katika kukuza mpira Tanzania

Dukagere huyuhuyu anayeongoza kuwa na magoli mengi ligikuu amekuwa mziga!!!
 
Habarini za Asubuhi wapendwa?

Leo nipo hapa kuongea kuhusukinachoendelea katika Club ya SIMBA. Viongozi wengi wa Simba especially Manara hana maono yoyote kuhusu mpira yupo kupiga kelele tu nina mashaka na Elimu yake ya darasani (asifanye niamini aliyosema Muro)

Boss wa Simba MO anathibitisha kuwa unaweza kuwa na mali ukakosa maarifa.

Kwanini nawaponda hawa watu?

Sababu wanashindwa kuelewa kuwa simba inaweza kufanyika kuwa daraja la kutoa wacheza kwenya kimataifa kuliko kukaa kukumbatia mizigo kama BOCCO. na KAGERE 36+ YEARS

Kwanini vijana kama Ajibu asiwe promoted?

Ndemla sawa hana nafasi ila hauwezi kuniambia Bocco ana uwezo kuliko Ajibu nikakuelewa. Kwa taarifa yenu tu uyo LUIS hana tofauti yeyote na KICHUYA ni kitendo cha mda tu.

Hata mkijitahidi kununua hamuwezi kufikia walipo Mazembe na wengine, mtajipotezea mda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boko na ajibu hawawezi kucheza no 1 Boko ni center Forward wakati ajibu ni kiungo mshambuliaji, hata siku moja huwezi kumkuta ajibu kupangwa mshambuliaji wa kati, hata hivyo Tanzania kuna team nyingi wasipofanya Simba basi hata majimaji, Lipuli, Singida Utd, Mbao fc, Azam na zinginezo wafanye kile ambacho Simba hawafanyi kwakuwa haivunji sheria za soccer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom