rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
umeshasikia jezi zinacheza mpira, Morrison alikuwa mchezaji wa Simba? Mkude mkataba umeisha na nyie mkamuokota kama mshabiki wa Simba wachezaji wa yanga hawanihusuHakuna kiongozi wa Yanga amesema Chama anasajiliwa na Yanga.
Simba Sasa hivi hakuna anaeaminika hata kwa wanasimba wenyewe. Hebu Ona jezi ziko wapi mpaka sasa? 20b? Morrison kuachwa? Mkude? Dejan?
kocha Brazil, wachezaji nusu Uturuki na nusu Dar es salaam, Tz. Hebu niambie hapo fuhara iko wapi?umeshasikia jezi zinacheza mpira, Morrison alikuwa mchezaji wa Simba? Mkude mkataba umeisha na nyie mkamuokota kama mshabiki wa Simba wachezaji wa yanga hawanihusu
kwkocha Brazil, wachezaji nusu Uturuki na nusu Dar es salaam, Tz. Hebu niambie hapo fuhara iko wapi?
kwa hiyo mlivyoenda kucheza Malawi bila kocha hamkuwa na furaha?kocha Brazil, wachezaji nusu Uturuki na nusu Dar es salaam, Tz. Hebu niambie hapo fuhara iko wapi?
Kabla ya hiyo misimu 4 uliteseka misimu 5 mfululizo bila kitu chochote. Hapo vipi?Hatujafikia misimu 4 mlopigika nyie
Aah wapi haijawahi tokea..lete takwimu hapa misimu 4 ya simba kutesa ndo ilikua mingi zaidi...Kabla ya hiyo misimu 4 uliteseka misimu 5 mfululizo bila kitu chochote. Hapo vipi?
Bila shaka umeanza kuipenda hiyo timu yako juzi tu.Aah wapi haijawahi tokea..lete takwimu hapa misimu 4 ya simba kutesa ndo ilikua mingi zaidi...
Toa ushahidi hapa kwani kesi? Nitakubali labda nimepitiwaBila shaka umeanza kuipenda hiyo timu yako juzi tu.
2012 Yanga sc, 2013 Azam fc, 2014 Yanga sc, 2015 Yanga sc, 2016 Yanga sc ok umelizika au bado? Miska mingapi hiyo Simba yako ilipotea?Toa ushahidi hapa kwani kesi? Nitakubali labda nimepitiwa
Hii ni bato ya Yanga na Simba kumkalia Simba miaka 5 mfululizo..kama.simba alivyofanya kwa miaka 4 mfululizo...2012 Yanga sc, 2013 Azam fc, 2014 Yanga sc, 2015 Yanga sc, 2016 Yanga sc ok umelizika au bado? Miska mingapi hiyo Simba yako ilipotea?
Kaangalie alafu urudi ili tufanye hitimisho kulingana na comment yakoHii ni bato ya Yanga na Simba kumkalia Simba miaka 5 mfululizo..kama.simba alivyofanya kwa miaka 4 mfululizo...
Anya way yaishe ...nitaangalia na mm hizo takwimu
Na nyie mliteseka 5 years kabla hamjarudi kwenye njiaHatujafikia misimu 4 mlopigika nyie
Na ukitaka ya Yanga sc kumtesa Simba sc 5 yrs mfululizo rekodi zipo na nitakuwekea. Kama umeanza kushabikia mpira huu kipindi cha Muddy hizi rekodi huwezi kuwa nazo. Ila sisi wehenga haya yooote kwetu ni marudio tu, hakuna jipya.Na nyie mliteseka 5 years kabla hamjarudi kwenye njia
Na ukitaka ya Yanga sc kumtesa Simba sc 5 yrs mfululizo rekodi zipo na nitakuwekea. Kama umeanza kushabikia mpira huu kipindi cha Muddy hizi rekodi huwezi kuwa nazo. Ila sisi wehenga haya yooote kwetu ni marudio tu, hakuna jipya.Hii ni bato ya Yanga na Simba kumkalia Simba miaka 5 mfululizo..kama.simba alivyofanya kwa miaka 4 mfululizo...
Anya way yaishe ...nitaangalia na mm hizo takwimu
Mimi ni mshabiki wa Simba toka Tumboni mwa mama...Na ukitaka ya Yanga sc kumtesa Simba sc 5 yrs mfululizo rekodi zipo na nitakuwekea. Kama umeanza kushabikia mpira huu kipindi cha Muddy hizi rekodi huwezi kuwa nazo. Ila sisi wehenga haya yooote kwetu ni marudio tu, hakuna jipya.
aliyesema wenye akili Yanga ni wawili hakukosea, nani kakwambia kocha wa Simba Hana vigezo? yule kocha ni mkufunzi kaenda kuwapa kozi makocha wengine.Preseason ya michongo, kama vile hawakuwa na taarifa kama kocha mkuu hakuwa na vigezo, wachezaji wengine hawana vibali vya kusafiria na wachezaji wengine hawajamalizana kwenye usajili. vuluvulu,