Village-in JF-Expert Member Joined Aug 30, 2022 Posts 2,184 Reaction score 4,517 Aug 10, 2023 #21 Lupweko said: Basi tuchukue Simba na Yanga mechi ya mwisho badala ya miaka mitano. Nani mnyonge? π Click to expand... Mbona Simple tu we kenge?. Mnyonge ni yule aliekosa hata kakikombe ka bonanza msimu mzima. Kukusaidia fanyeni hivi nyie pambane sana kombe lenu kuifunga Yanga tu. Ila Yanga anapambania makombe yote muhimu. Lupweko said: Basi tuchukue Simba na Yanga mechi ya mwisho badala ya miaka mitano. Nani mnyonge? π Click to expand...
Lupweko said: Basi tuchukue Simba na Yanga mechi ya mwisho badala ya miaka mitano. Nani mnyonge? π Click to expand... Mbona Simple tu we kenge?. Mnyonge ni yule aliekosa hata kakikombe ka bonanza msimu mzima. Kukusaidia fanyeni hivi nyie pambane sana kombe lenu kuifunga Yanga tu. Ila Yanga anapambania makombe yote muhimu. Lupweko said: Basi tuchukue Simba na Yanga mechi ya mwisho badala ya miaka mitano. Nani mnyonge? π Click to expand...