Simba pale kwa Che Malone tumepigwa

Labda mechi zitakazofuata..
Lakini mechi hizi za SIMBA , bado uwezo wa kutengeneza nafasi ni mdogo.
Nawaza SIMBA ya PABLO ile ya akina Larry Bwalya, CHAMA, Micquson, walivyokuwa wakitengeneza vyumba ...Shida ikawa tu finishing za Mugalu.

Leo simba wapo finishers wazuri, PHIRI ,BALEKE...lakini clear chances unaitafuta kwa tochi..
 
Kwa mechi mbili nlizotazama za Simba.

1. Ni kweli kabisa namba 3 haipo, jana mpira umechezwa sana kwenye zone ya Zimbwe, na amekuwa ni njia.

2. Ally Salum hakuna kipa pale, ni vile ndani ya mechi mbili hizi hakupata ushindani ila angekutana na safu nzuri au kashkash alokutana nayo jana Beno, Simba angekaa hata 3.

3. Namba 6 ya Simba, eneo la ukabaji mbali na Mzamiru ambaye umri umeenda na anatumia nguvu nyingi, Kanoute ana kazi ya ziada. Simba inahitaji mtu hasa wa kutuliza lile eneo la ukabaji.

4. Yule Fabrice Ngoma ni mzuri sana, hasa timu ikiwa inashambulia au inapossess. Mbali na hapo ni mzigo sababu hakupi attribute kubwa kwenye ukabaji.

5. Simba ina wings wengi lakini sehemu kubwa zaidi tunaona Saido ndo mwenye mchango, siku Saido akawa nje na Chama, timu inaweza ikawa kwenye wakati mgumu ktk utengenezaji wa nafasi.

6. Taratibu nimeanza kukuelewa ulivyokuwa unaponda usajili wa Simba.

7. Tukutane J2 mtani.
 
Kwa ile Simba ya jana, wangekutana na Azam pasingetosha. Jana mid za Simba zilipotea hasa mipira wakipoteza.
 
Saido alifikisha magoli 4 kimataifa tofauti magoli 3 na Mayele.

Mayele hakuwa mfungaji Wa maajabu kama mnavyotaka ionekane.

Hata Magoli ya wafungaji Bora Ligi Kuu kama John Bocco au Meddie Kagere hakuweza kuyafikia
Magoli yapi alifunga Saido kwenye mechi za CAF achana na hayo ma nne nitajie moja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Itoshe wewe kuitwa mpuuzi.
Kwa Mantiki ipi nastahili kuitwa mpuuzi na nimepuuzia nini?

Mayele alikuwa Wa kawaida sana na ndiyo maana kashindwa kuzifikia rekodi za kina Kagere na Bocco walipokuwa kwenye viwango vyao vya Juu.
 
Kwa Mantiki ipi nastahili kuitwa mpuuzi na nimepuuzia nini?

Mayele alikuwa Wa kawaida sana na ndiyo maana kashindwa kuzifikia rekodi za kina Kagere na Bocco walipokuwa kwenye viwango vyao vya Juu.
Ameweka record ya kuuzwa bei kubwa kuliko mchezaji yoyote kwenye ligi ya bongo, usisahau kunitajia goli moja tu alilofunga babu Saido kwenye mechi za CAF ukikosa nitajie hata assist moja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…