Magoli ya m pesaMakocha uchwara.
Hao mnaowabeza ndiyo mwaka Jana waliifanya Simba iongoze Kwa mabao.
Na wengine hawana hizo Mpesa?Magoli ya m pesa
Asie wa kawaida ni nani?Alikuwa mfungaji Wa kawaida sana ila staili yake ya kushangilia ndiyo ilimpa umaarufu toka Kwa Wana Gongowazi.
Mayele ni sawa tu na George Mpole au Saido Ntibanzokiza. Ila hao wenzake hawana mbwembwe.
Namaanisha anakuzwa sana. Misimu yote miwili hakuwa mfungaji Bora peke yake na Wala wastani wake Wa kufunga Kwa mechi haukuwa mkubwa sana.
Tena mabao yaliyotupatia kombe la uji wa dengu.Makocha uchwara.
Hao mnaowabeza ndiyo mwaka Jana waliifanya Simba iongoze Kwa mabao.
Tukumbushe Saido na Mpole walikuwa wafungaji bora kwenye michuano gani ya kimataifa?Alikuwa mfungaji Wa kawaida sana ila staili yake ya kushangilia ndiyo ilimpa umaarufu toka Kwa Wana Gongowazi.
Mayele ni sawa tu na George Mpole au Saido Ntibanzokiza. Ila hao wenzake hawana mbwembwe.
Saido alifikisha magoli 4 kimataifa tofauti magoli 3 na Mayele.Tukumbushe Saido na Mpole walikuwa wafungaji bora kwenye michuano gani ya kimataifa?
Mwambie utopolo mwenzako kuwa hakuwa msumbufuHakua msumbufu alikua mfungaji
Kibu DenisAsie wa kawaida ni nani?
hapo namba 6 nakukatalia
Kwa mechi mbili nlizotazama za Simba.Haya YOTE niliisha yasema kiufundi.
1. NILISEMA Simba walitakiwa kumbakisha Kakolanya, au watafute Golikipa wa kigeni.
2. Simba hakuna Beki wa kushoto, wakashindwa Hadi kwa YAHAYA Mbegu.
3. Simba Hakuna Beki wa kumchallange Inonga au Malone endapo wakishuka kiwango, WAKIUMIA au wakiwa na ADHABU.
4.TATIZO KUBWA LA SIMBA NI HAPA KATIKATI KWENYE KIUNGO MKABAJI NO 6. CDM.
NGOMA ANGEKUWA NA BANGALA SIMBA INGECHEZA FAINALI.
Kwa ile Simba ya jana, wangekutana na Azam pasingetosha. Jana mid za Simba zilipotea hasa mipira wakipoteza.Simba wamejaza Mawinga bila kuwa na kiungo mkabaji
Makosa Lazima yatokee kwa Mabeki.
Hakuna kiungo WA MAANA WA kuweza kuilinda ukuta ( Back 4)
Viungo wote WA Simba ni BOX TO BOX.
wanaacha nafasi Yao wanapanda juu na kuacha Mabeki wakiwa One against One na Mabeki.
Katikati panapitika mno.
Kanute na mzaminu ni njia
Itoshe wewe kuitwa mpuuzi.Alikuwa mfungaji Wa kawaida sana ila staili yake ya kushangilia ndiyo ilimpa umaarufu toka Kwa Wana Gongowazi.
Mayele ni sawa tu na George Mpole au Saido Ntibanzokiza. Ila hao wenzake hawana mbwembwe.
Kwa hiyo kutukana ndio hoja, hebu jitafakari au kunywa vidongen vya kuondoa stressUnakataa bila Fact..
LABDA KAMA HUJUI MAANA YA CDM ILA
Ukikataa bila hoja ni ujinga
UPUMBAVU NA.
UBISHI.
Unahitaji maombiNamaanisha anakuzwa sana. Misimu yote miwili hakuwa mfungaji Bora peke yake na Wala wastani wake Wa kufunga Kwa mechi haukuwa mkubwa sana.
Ila umaarufu wake uliletwa na kutetema anapofunga!!
Magoli yapi alifunga Saido kwenye mechi za CAF achana na hayo ma nne nitajie mojaSaido alifikisha magoli 4 kimataifa tofauti magoli 3 na Mayele.
Mayele hakuwa mfungaji Wa maajabu kama mnavyotaka ionekane.
Hata Magoli ya wafungaji Bora Ligi Kuu kama John Bocco au Meddie Kagere hakuweza kuyafikia
Mabao ya kimkakatiMakocha uchwara.
Hao mnaowabeza ndiyo mwaka Jana waliifanya Simba iongoze Kwa mabao.
Kwa Mantiki ipi nastahili kuitwa mpuuzi na nimepuuzia nini?Itoshe wewe kuitwa mpuuzi.
Ameweka record ya kuuzwa bei kubwa kuliko mchezaji yoyote kwenye ligi ya bongo, usisahau kunitajia goli moja tu alilofunga babu Saido kwenye mechi za CAF ukikosa nitajie hata assist mojaKwa Mantiki ipi nastahili kuitwa mpuuzi na nimepuuzia nini?
Mayele alikuwa Wa kawaida sana na ndiyo maana kashindwa kuzifikia rekodi za kina Kagere na Bocco walipokuwa kwenye viwango vyao vya Juu.