Yaani ni mechi mbili tu zimechezwa, lakini kama mtu una jicho la ufundi wa kimpira utagundua hili mapema sana.
Mechi dhidi ya power dynamos, Che Malone alifanya makosa mawili ya wazima ila wale washambuliaji wa power dynamos wakapoteza nafasi. Jana pia kafanya makosa mawili ya wazi kabisa.
Sasa hapa Simba inatapambana na Timu za daraja la kawaida kabisa, huko Super Ligue na Champion league sijui itakuaje. Kiufupi huyu jamaa sio mmbaya sana lakini naona kwa level za Simba Bado sana.
Hawa watangazaji wanatoa sifa za kijinga tu eti electrical fence, kumbe ukuta wa makuti tu.