Jesus Mlokozi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 2,684
- 21,117
Simba Queen inaendelea kujiendesha kibiashara kila siku.
Leo wamepokea basi kubwa la kisasa kutoka AfriCarier.
Leo wamepokea basi kubwa la kisasa kutoka AfriCarier.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm silioni tupia picha nilione
US$ 300 tungeweza?Sisi Simba tumewekeza kwenye soka la Wanawake.
Tumeshindwa kumrejesha Konde Boy amepelekwa Uarabuni kwa mkopo!
View attachment 2343081
Kwanza ieleweke kuwa si kila kitu kinachofanyika upande mmoja kifanyike na upande mwingine japo mazuri kuyaiga si dhambi mimi naona kila timu ina mipango yake na namna ya kufikia malengo ya hicho walichojipangia. Hongera sana kwa simba kuipatia timu yetu ya wwns wake usafiriSimba Queen inaendelea kujiendesha kibiashara kila siku.
Leo wamepokea basi kubwa la kisasa kutoka AfriCarier.
View attachment 2343062
La pili mkuu hapa umeongea kishabiki elcher ni basi la kawaida mno tofauti yake na cosster ni ukubwa wa bodi tubasi kubwa la kisasa
Tuna zaidj ya Bil. 20, hiyo hata mil. 800 haifikiUS$ 300 tungeweza?
Tuoneshe la Yanga princessKwanza ieleweke kuwa si kila kitu kinachofanyika upande mmoja kifanyike na upande mwingine japo mazuri kuyaiga si dhambi mimi naona kila timu ina mipango yake na namna ya kufikia malengo ya hicho walichojipangia. Hongera sana kwa simba kuipatia timu yetu ya wwns wake usafiri
La pili mkuu hapa umeongea kishabiki elcher ni basi la kawaida mno tofauti yake na cosster ni ukubwa wa bodi tu
Hiyo bilioni ishirini kwani ipo tu benki imetulia?Tuna zaidj ya Bil. 20, hiyo hata mil. 800 haifiki