Simba Queen yapata Basi kubwa jipya. Yanga Princess vipi!?

Simba Queen yapata Basi kubwa jipya. Yanga Princess vipi!?

Jesus Mlokozi

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
2,684
Reaction score
21,117
Simba Queen inaendelea kujiendesha kibiashara kila siku.
Leo wamepokea basi kubwa la kisasa kutoka AfriCarier.
Screenshot_20220902-124919.png
 
Tumuulize Makamu Rais hili swala. Maana alisema kuhusu Yanga Princess yeye ndo wakuulizwa.
‘Au nadanganya ndugu zangu’?!
 
Sisi Simba tumewekeza kwenye soka la Wanawake.

Tumeshindwa kumrejesha Konde Boy amepelekwa Uarabuni kwa mkopo!

IMG-20220902-WA0035.jpg
 
Simba Queen inaendelea kujiendesha kibiashara kila siku.
Leo wamepokea basi kubwa la kisasa kutoka AfriCarier.
View attachment 2343062
Kwanza ieleweke kuwa si kila kitu kinachofanyika upande mmoja kifanyike na upande mwingine japo mazuri kuyaiga si dhambi mimi naona kila timu ina mipango yake na namna ya kufikia malengo ya hicho walichojipangia. Hongera sana kwa simba kuipatia timu yetu ya wwns wake usafiri
basi kubwa la kisasa
La pili mkuu hapa umeongea kishabiki elcher ni basi la kawaida mno tofauti yake na cosster ni ukubwa wa bodi tu
 
Timu haina hata verified account unataka uilinganishe na Simba queens? Timu iliyosajili wachezaji siku moja kabla ya dirisha kufungwa uilinganishe na queens?
 
Kwanza ieleweke kuwa si kila kitu kinachofanyika upande mmoja kifanyike na upande mwingine japo mazuri kuyaiga si dhambi mimi naona kila timu ina mipango yake na namna ya kufikia malengo ya hicho walichojipangia. Hongera sana kwa simba kuipatia timu yetu ya wwns wake usafiri

La pili mkuu hapa umeongea kishabiki elcher ni basi la kawaida mno tofauti yake na cosster ni ukubwa wa bodi tu
Tuoneshe la Yanga princess
 
Yule raisi wa tff anatuonea sana yanga hii dili ilikuwa yetu ila amewapa yanga tunajipanga tuende FIFA.
 
Back
Top Bottom