The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hawa mademu wanapiga sana boli japo hawapigiwi propaganda kama timu ya wanaume.
Kuna Yule kiungo wao Fatma Mwenye kilemba muda wote kichwani yupo vizuri sana Yule demu.
Hivi mihogo FC, Wana timu ya wanawake? Na kama ipo inaitwaje vile?
Kuna Yule kiungo wao Fatma Mwenye kilemba muda wote kichwani yupo vizuri sana Yule demu.
Hivi mihogo FC, Wana timu ya wanawake? Na kama ipo inaitwaje vile?