Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini rangi ya Njano inawatesa sana Makolokolo FC..?
Stika ya gari hiyo, wala usihadaiwe na photoshop
1972Umezaliwa mwaka gani?
Umejiunga JF mwaka gani?Umezaliwa mwaka gani?
Ndugu yangu suala la ushabiki wa mpira Tanzania ni ushamba wa hali ya juu sana.
Wakubwa walikwisha acha kuhifadhi ile pphoto kwenye galery zao kwa kuwa wanatambua kuwa Simba ndio iianza kupigwa bao 5 mnamoUmezaliwa mwaka gani?
Naona umeirudia mechi moja mara tatu! Nilitegemea pia utaweka ile ya Simba alipoifunga Yanga 6-0, huku King Kibaden Mputa akipiga hat-trickWakubwa walikwisha acha kuhifadhi ile pphoto kwenye galery zao kwa kuwa wanatambua kuwa Simba ndio iianza kupigwa bao 5 mnamo
Juni 1,1968
Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Ndio maana nikakuuliza umezaliwa mwaka gani?
Mkuu mbona unahangaika kama mtetea anatafuta kutaga. Mara Simba Queen mara jezi. Wahi kwa daktari
Bayelsa United FC is a football club based in Yenagoa, Bayelsa, Nigeria. They play in the second division of Nigerian football, the Nigeria National League.Wanaifuatilia hadi Simba Queens huko Kenya. Cha ajabu hawajui hata Rivers amejipigia bingwa wa nchini kwao katika kujiandaa na mechi ya Yanga
Mara ya mwisho Yanga Princes ilipocheza na Simba queens hao dada wa njano walipigwa 4-1, acha ujingaSimba Queens imepigwa mambo na kutolewa mashindanoni na mko kimya, mna siri sana machawa wa tajiri Ilivoshinda kumi, mlipiga sana kelele humu.
Shubamiti.
View attachment 1926735
Si umeona sasa!Naona umeirudia mechi moja mara tatu! Nilitegemea pia utaweka ile ya Simba alipoifunga Yanga 6-0, huku King Kibaden Mputa akipiga hat-trick