Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna ubavu aisee. Kwanza waamuz wangekua wazuri round iliyopita ungekuwa wa 4 au 5 maana timu bovu kinoma kuna point zaidi ya 12 mlipewa offside au penalty za uongo kumbuka game na simba ya kwanza ile penalty ya uongo.kabsa.Mtani nakuja kukupumulia msimu huu yaani.
Kumbe na nyinyi mnajua kulalamika.Huna ubavu aisee. Kwanza waamuz wangekua wazuri round iliyopita ungekuwa wa 4 au 5 maana timu bovu kinoma kuna point zaidi ya 12 mlipewa offside au penalty za uongo kumbuka game na simba ya kwanza ile penalty ya uongo.kabsa.
Hatukulalamika ujue kutofautisha malalamiko na ukweli mkuu.Kumbe na nyinyi mnajua kulalamika.
mbona umeruka ile mliyopigwa sita bila au ndio mmojawapo waliosemwa na EymaelWakubwa walikwisha acha kuhifadhi ile pphoto kwenye galery zao kwa kuwa wanatambua kuwa Simba ndio iianza kupigwa bao 5 mnamo
Juni 1,1968
Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Ndio maana nikakuuliza umezaliwa mwaka gani?
Hivi utopolo F.C. na Makolokolo F.C. ipi ni afadhali au inayovutia kutamkwa kiudhalilishaji?Kwanini rangi ya Njano inawatesa sana Makolokolo FC..?