Simba Queens imetolewa mashindanoni na mko kimya tu

Simba Queens imetolewa mashindanoni na mko kimya tu

Bayelsa United FC sio mabingwa wa NFPL.
1630946944114.png
 
Umeangalia mechi lakini au umechukua matokeo tu. ungekuwa mtu makini ningekupa highlights mimi niliyeangalia game yote. Ila kwa wewe topolo itakuwa kupigia mbuzi gitaa
Sikieni hii toto iliyolaaniwa
Highlights halafu mmebamizwa? Haya basi mmeshinda...
 
Pamoja na kutolewa ila Simba queens huwezi kulinganisha na timu yoyote hapo utopolo.

Kuanzia yanga ya watoto, wadada hadi wanaume wote inawachapa.
 
Pamoja na kutolewa ila Simba queens huwezi kulinganisha na timu yoyote hapo utopolo.

Kuanzia yanga ya watoto, wadada hadi wanaume wote inawachapa.
Vihiga Queens.
 
Sikieni hii toto iliyolaaniwa
Highlights halafu mmebamizwa? Haya basi mmeshinda...
Hahahahah....Huyo jamaa atakuwa mzenji maana ata akifungwa anaonekana kufurahia mpira wa "Chenga Twawala.."
 
nakuuliza uliangalia mechi?
Jioni ya leo nilikuwa naelekea Langata nikitoka City center. Nikaona Jezi nyingi za njano zikiuzwa nikauliza nani anacheza nikaambiwa Vihiga Queens vs Makolokolo FC Wanawake.

Nikaona isiwe tabu ngoja niingie nikachungulie kidogo, Kuuliza kiingilio nikaambiwa ni Shilingi 70 za Kikenya (ni sawa na Buku Jero za Kibongo). Basi nikaingia, ila nikakuta game iko dakika ya 12.

Vipi wewe uliitazama game kupitia Luninga?
 
Mama J hiyo mimba Bora uichomoe tu, siyo kwa kisirani hicho. Ndiyo shida ya kupanua miguu ovyoo unatiwa mimba na mtu asiyekuwa na malengo na wewe matokeo yake wanaume wote unawaona wabaya.
Isha Mashauzi katika Ubora wako. 😂 😂 😂 😂
 
Ndugu yangu suala la ushabiki wa mpira Tanzania ni ushamba wa hali ya juu sana.

Nahisi hatujui maana ya mpira na tunaukosea mpira kwa kuufanya uwe sehemu ya kuhara na kutapika vitu vya ajabu visivyo na faida yoyote katika soka.

Mpira ni takwimu, mpira ni vikombe, mpira ni fedha na mpira ni mafanikio. Nataka wewe shabiki wa Yanga tumia akili za kawaida kisha niambie kati ya hao Simba Queens na Yanga Sc ni timu gani ilifanya vizuri kwenye mashindano yake ndani ya miaka mitatu iliyopita.

Ukipata jibu anza kujiuliza ukubwa wa timu yako kwa sasa ni nini? Usajili wa kelele au kuwa na wasemaji wapiga kelele ambao wanakuja kuwajaza imani kwa mzoga uliooza na wenye kutoa harufu upambwe na kuonekana ni nyama inayofaa.

Angalia wenzenu ambao mnawabeza kishingo upande wamefika wapi katika soka ndani na nje ya Tanzania. Ndani ya kipindi kifupi wanacheza robo fainali mbili za CAFCL hii si bahati mbaya ni mikakati iliwekwa.

Tengenezeni timu shindani ambayo itakuzwa na mpira na matokeo yake na si kelele za kishabiki zisizo na manufaa kwa timu yenu.
Mkuu huyu naimani tarehe 12/09/2021 muda kama huu atakua kashalala na simu atazima maana simba queen tu ni bora kuliko hilo band lao la bolingo
 
Mkuu huyu naimani tarehe 12/09/2021 muda kama huu atakua kashalala na simu atazima maana simba queen tu ni bora kuliko hilo band lao la bolingo
Sasa Mtani.

Mbona wakina Sarpong & Fiston Abdulrazak walichukua alama 4 na kukuachia 1 kwenye mechi za ushindani za Ligi. Tena ukiwa na wakina Miqque & Chama?

Sasa hao wadogo wa under 23 sijui una matario nao gani wanapokuja kutana na wazee wa KUJAZA.
 
Sasa Mtani.

Mbona wakina Sarpong & Fiston Abdulrazak walichukua alama 4 na kukuachia 1 kwenye mechi za ushindani za Ligi. Tena ukiwa na wakina Miqque & Chama?

Sasa hao wadogo wa under 23 sijui una matario nao gani wanapokuja kutana na wazee wa KUJAZA.
Ubingwa ulichukua..? Unajua timu kibonde inaweza kukamia game kubwa tu basi. Au mpira umeanza shabikia 2020+
 
Back
Top Bottom