Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza unamfahamu vizuri kabisa mayele? Kama humfahamu muulize manura kabla haujaja tena huku kuandika tena uhalo wako.Mayele anachakujifunza kutoka kwa asha Jafary
Hawa ndiyo wangepelekwa kushiriki Kombe la Mapinduzi Zanzibar ni wazuri kuliko Simba wanaume.View attachment 2073867
Akihojiwa na Azam Tv kocha wa Yanga Edna Lema amesema sababu ya kufungwa ni uwepo wa makocha wa kiume kwa Simba Queens.
Ikumbukwe kuwa kocha msaidizi wa Yanga ni Mohamed Hussein Mmachinga. Sijui huyu ni mwanamke?
Haya yanaonekana ni makali kuliko Masimba majanaume na Mimi ningependa kuyaona haya ndiyo yangekwenda Zanzibar angalau yanaweza kuleta ushindani kwa Yanga na wala si vinginevyo.Masimba majanaume hayana uwezo mabovu mno kisoka vinginevyo Yanga atatuchakaza kule ZanzibarMasimba jike yamefanya yao.
Simba wampeleke Asha jafari Zanzibar wakina Boko,Kagere,Kibu Denis hamna kituMayele anachakujifunza kutoka kwa asha Jafary
Na nyie muulizeni diarra kuhusu kanoute atawasimulia ni mtu wa namna gani.Kwanza unamfahamu vizuri kabisa mayele? Kama humfahamu muulize manura kabla haujaja tena huku kuandika tena uhalo wako.
akili zipo kwenye msambwandaHuyo kocha wa yanga asitishiwe mkataba wake haraka sana, kiazi mkubwa huyo
Fikiria mchezaji(Feisal) anasema alivyofunga goli (dk ya 82) dakika zilikuwa zimeisha (ndio maana alishangilia sana).Hakika utopolo ni utopolo kichwani.Niliwahi kusema humu kwamba utopolo ni utopolo tu, hawajawahi kuwa na akili hawa watu, awe mtoto, mtu mzima, mwanamke kwa mwanaume.
Ubovu wa Simba uko wapi kwenye mapinduzi wakati bado wapo,au umepewa mimba na msimbaziHaya yanaonekana ni makali kuliko Masimba majanaume na Mimi ningependa kuyaona haya ndiyo yangekwenda Zanzibar angalau yanaweza kuleta ushindani kwa Yanga na wala si vinginevyo.Masimba majanaume hayana uwezo mabovu mno kisoka vinginevyo Yanga atatuchakaza kule Zanzibar
Ndiyo maana wakifunga goli mbele ya Simba wanarudi kukaa nyuma [emoji23][emoji23] wanaamini dakika huwa zishamalizikaFikiria mchezaji(Feisal) anasema alivyofunga goli (dk ya 82) dakika zilikuwa zimeisha (ndio maana alishangilia sana).Hakika utopolo ni utopolo kichwani.
Tuwapeleke england tu kule,huku hakuna timu za kushindana na simbaSimba wapewe tu hilo kombe, hivi vipigo wanavyotoa huko tangu hiyo ligi ianze atakuja kuzimia mtu, sitaki lawama.
Inawezekana ndio lilimpatia kazi hiloIla uongo mbaya Edna ana tako la haja...si mchezo🤭