Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sasa ni rasmi mpinzani wa Simba katika robo fainali ya CAF Champions League ni lazima awe mmoja kati ya timu hizi tatu; CR Belouizdad ya Algeria, Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini au MC Alger ya Algeria pia.
Hii ni baada ya mechi za makundi yote manne kumalizika leo na timu hizo kushika nafasi za pili sambamba na Al Ahly ya Misri ambayo hata hivyo haiwezi kukutanishwa na Simba kwa kuwa zinatoka katika kudi moja. Droo ya kumpata mpinzani mahususi itafanyika tarehe 30/04/2021. Misimamo ipo hivi:
Hii ni baada ya mechi za makundi yote manne kumalizika leo na timu hizo kushika nafasi za pili sambamba na Al Ahly ya Misri ambayo hata hivyo haiwezi kukutanishwa na Simba kwa kuwa zinatoka katika kudi moja. Droo ya kumpata mpinzani mahususi itafanyika tarehe 30/04/2021. Misimamo ipo hivi: