mwaka 2018 bingwa wa caf champions league ni Esperence, mwaka 2019 bingwa wa caf champions league ni esperence tena, mwaka 2020 bingwa wa caf champions league ni al ahly, mwaka 2021 ndio huu timu zipo hatua ya robo..
mamelodi ni mtoto mdogo sana kwa Esperence, kwanza mamelodi amewahi kutwaa ubingwa wa caf champions league mara 1 tu tangu klabu imeanzishwa, ambao ni mwaka 2016 tu ndio mamelodi alibeba kombe, sasa why udanganye ni bingwa wa mwaka juzi..
Mamelodi unaedanganya ni bingwa wa msimu uliopita, labda alitwaa ubingwa wa rede mtaani kwenu
Nimekuwekea list ya mabingwa wa kila mwaka uisome ujue nani muongo kati ya mimi na wewe
View attachment 1749067