Simba robo fainali CAF kukutana na CR Belouizdad, Kaizer Chiefs au MC Alger

Simba robo fainali CAF kukutana na CR Belouizdad, Kaizer Chiefs au MC Alger

Acha kua muongo bana jamaa nimeangalia point zako toka 2019 nmegundua muongo muongo sana af unajifanya unajua sana soka la Africa



Mfano hapo mchezaji wa zamalek kwanin afuatilie matokeo ya Horoya na Kaize chief wakati kundi lao alikuwepo Esperance, Mc Alger na Teungueth
Kaizer chief anabahati sana [emoji3] draw ya jana imemsaidia abakie,,,mchezaji wa zamalek kanickitisha mno jana baada ya game kuisha kwa ushindi wa goli 4-1 akauliza matokeo ya kaizer na horoya akaambiwa, aise mshkaji aliishiwa nguvu walijua washapita.
 
Mbingu na Ardhi kwa Esperance hii hii ya moroco ambayo ina CAF trophy Victor 4 na moja ya kupewa


Team kubwa Africa ni Al Ahly na Zamalek so far japo zamalek katoka ila roho yako mbaya imefanya umpe simba 40% ya kuchukua kombe tena umemuweka wa 7; yaani vibonde belouizdad na Mc Alger umewapa mpaka 80% m nyie yanga achen ujinga na sasa mui judge ligi ya VPL huku mambo yamewashinda
Umemjibu vizuri sana,,, Esperance na simba wapi na wapi ni mbingu na ardhi.
Screenshot_2021-04-11-14-34-27.jpeg
 
Sijaelewa kwanini Kaizer Chiefs amekuwa nafasi ya Pili na Siyo Horoya mwenye Goal difference nzuri. Maana game zao zote walivyokutana wamesuluhu kama head to head ni sababu
Ni kanuni za mashindano ndivyo zilivyowekwa kabla ya michuano hii kuanza. Ni kwamba kanuni za mwaka huu za CAF CL zinasema timu itaangaliwa yenye points nyingi, zikilingana inaangaliwa Head To Head (H2H), kwamba mlipokutana nyie wawili mnaolingana, nani alimzidi mwenzake points, mkilingana inaangaliwa nani alimzidi mwenzake magoli, mkilingana inaangaliwa nani ana magoli mengi ugenini katika mechi zenu mlipokutana wawili tu, mkilingana ndio wanatoka nje ya H2H, wanaangalia goal difference ya ujumla ya mechi zenu kundi zima, na kadhalika.

Mechi ya kwanza ilipigwa South Africa, iliisha Kaizer Chiefs 0-0 Horoya. Mechi ya pili ilipigwa Guinea, iliisha Horoya 2-2 Kaizer Chiefs, kwa hiyo Kaizer Chiefs akawa juu ya msimamo wa ligi kwa kuwa ailpata sare ya mabao ugenini
 
Mfano hapo mchezaji wa zamalek kwanin afuatilie matokeo ya Horoya na Kaize chief wakati kundi lao alikuwepo Esperance, Mc Alger na Teungueth

Asante kunisahihisha mkuu,, nilipitiwa.

Jamaa niliona kama ameuliza hivi, baada ya kujibiwa akatikisa kichwa. Nikahisi matokeo
 
Ni kweli. Na knock out games zina experience zake. Sisi ni wageni kwenye this stage
Kabla ya group stage ilikuwapo preliminary na first round, nayo iliendeshwa kwa utaratibu wa knock out
 
Mbingu na Ardhi kwa Esperance hii hii ya moroco ambayo ina CAF trophy Victor 4 na moja ya kupewa


Team kubwa Africa ni Al Ahly na Zamalek so far japo zamalek katoka ila roho yako mbaya imefanya umpe simba 40% ya kuchukua kombe tena umemuweka wa 7; yaani vibonde belouizdad na Mc Alger umewapa mpaka 80% m nyie yanga achen ujinga na sasa mui judge ligi ya VPL huku mambo yamewashindaView attachment 1749225

Esperance ni from tunis na co morocco
 
Hiyo ya 2019 Wydad Casablanca walifanyiwa figisu hadi wakatoa timu uwanjani, hivyo Esperance akapata ushindi wa mezani, msimu huu Esperance timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja vya ugenin tofauti na mismu miwili iliyopita.

Hiyo mechi iliniuma , nilitamani wydad wachukue
 
Asante kunisahihisha mkuu,, nilipitiwa.

Jamaa niliona kama ameuliza hivi, baada ya kujibiwa akatikisa kichwa.
Sasa kwann ndugu yangu huipendi simba sababu Mimi ni shabiki wa simba lakini kama ningekua Yanga kiukweli ningekua naogopa hata kuiongelea vibaya simba, msimu wa mwaka juzi tunatinga robo fainali kiukweli tulipambana na bahati ilikua upande wetu sababu tulikua hatuna wachezaji imagine kuna mda Rashid Juma alianza first eleven au Dilunga alikua mchezaji tegemezi


Lakini mwaka huu tumepambana na uwezo upo rally bwalya na Morrison wanatokea bench, Dilunga.Ajibu.bocco na wachezaji wengi wazuri wanaweza wasiwepo hata bench licha ya wao kua fit, Simba mwaka huu ni bora sana kuliko
Belouizdad
Mc Alger
Kaizer

Lakin hutaki kutupa hata 1% ya kwenda semi finanal punguza hisia unaeza kupata ugonjwa wa moyo
 
Ni kweli lakin nlikosea lakin najua unajua hawana maajabu mbele ya simba

Ufupi ni kwamba Simba na Team zote kubwa Africa hatuna maajabu kama Giants wa ulaya kama Bayern,Barca,Madrid, ambao wao hata ukiwa kwako na upo form na mipango mizuri wao wanakupiga tu

Huku hata Esperance akutane na kaizer Chief karata zikichangwa vizuri na kaizer Esperance wanaweza kutoka

Huko,Algeria,morroco,Tunisia na Egypt team zina ups n down kibao imagine wana team kama

Club African
Belouizdad
Al Ahly
Zamalek
Kabylie
Alger
USM Alger
Sacfaxien
Saoura
Tunis
Wydad
Raja
Pyramids
Al masry
Smouha
Na waarabu kibao ambao ukiwatoa Al Ahly,zamalek na Esperance walobaki hawana maajabu imagine nyi Yanga mnalazimisha simba ahofie mechi na vibonde Mc Alger au Belouizdad ambao hawajui wamefikaje robo fainal na walihitaj mpaka game ya mwisho kua 2nd on group na kuvuka na wakat simba game nne tu alikua kashavuka kwenda robo final na lengo letu Kila shabiki wa soka Tz anajua kwanza ni kufika semi final na hatujafika hapa kwa bahati bali nia,uthubutu,uwezo na uwekezaji
Esperance ni from tunis na co morocco
 
Simba habari yake imeishia hapa labda wasubiri maajabu ya vipimo vya COVID 19 kwa wapinzani wao.......! Unaweza sikia wachezaji 11 wa kikosi cha kwanza wa timu pinzani wamekutwa na maambukizi! Wazee wa figisu hao!
 
Back
Top Bottom