sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Huu moto aliouwasha Kocha Bora kabisa toka Kameruni, Joseph Omog, akisaidiwa Kocha bora kabisa kuwahi kushuhudiwa nchini Uganda, Jackson Mayanja sijui ni nani mwenye uwezo wa kuuzima. Simba S.C imeimarika sana kwa sasa.
Baada ya kugawa dozi nzito nzito kwa Polisi Moro, Moro Kids.. leo ilikua ni zamu ya timu bora kabisa kwa sasa Mkoani Morogoro, Bukinafaso kupewa stahiki yao.. na hii ni baada ya kutandikwa goli 5-0 bila hata chembe ya huruma.
Wafungaji wa magoli katika mechi ya Leo ni Mousa Ndusha, Shiza Kichuya, Said Ndemla na Ibrahimu Ajibu katupia goli 2 kambani [nasisitiza huyu jamaa ule ugonjwa wake kufunga unaendelea kua sugu kila siku zinavyosonga].
Mpaka sasa.. Simba chini ya Omog.
1. Mechi Tulizocheza - 3
2. Magoli Tuliyofunga - 15
3. Magoli Tuliyofungwa - 0
4. Aina ya Soka - Soka la Kasi, Pasi Nyingi, Ufundi Mwingi n.k
... and the cycle continues.
Baada ya kugawa dozi nzito nzito kwa Polisi Moro, Moro Kids.. leo ilikua ni zamu ya timu bora kabisa kwa sasa Mkoani Morogoro, Bukinafaso kupewa stahiki yao.. na hii ni baada ya kutandikwa goli 5-0 bila hata chembe ya huruma.
Wafungaji wa magoli katika mechi ya Leo ni Mousa Ndusha, Shiza Kichuya, Said Ndemla na Ibrahimu Ajibu katupia goli 2 kambani [nasisitiza huyu jamaa ule ugonjwa wake kufunga unaendelea kua sugu kila siku zinavyosonga].
Mpaka sasa.. Simba chini ya Omog.
1. Mechi Tulizocheza - 3
2. Magoli Tuliyofunga - 15
3. Magoli Tuliyofungwa - 0
4. Aina ya Soka - Soka la Kasi, Pasi Nyingi, Ufundi Mwingi n.k
... and the cycle continues.