Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mkuu hizi siasa za, kupeleka Bulldozer Bunju siku moja kabla ya Mkutano Mkuu.. Na siku moja baada ya Mkutano kutembeza bakuli la fedha za usajili, Tuachane nazo.
Kwa sasa Mnyama yuko vizuri..
Bukinafaso tuliwatwanga 3-0 katika mechi ya Kombe la FA kwa taabu kidogo.. Leo tunampiga 5-0.
Ushindi mkubwa kwetu kwa Polisi Moro ilikua ni 2-1.. Leo tunampiga 6-0 kama kasimama.
Kuhusu kufungwa na KMC ni sehemu ya mpira.. Usivunjike Moyo Mkuu.. Mnyama sasa kaimarika, Amini Nachokuambia.
Mkuu Sembo Mimi ni Yanga lakini naweza kukwambia haya maneno na post zako inaonyesha moja kwa moja kama dhihaka fulani kwa Wanasimba,yaani unawafanya wao ni Mambumbumbu na malofa wasiojua mwenendo wa timu na mpira kwa ujumla.