econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kiukweli mimi ni simba ila nikiri simba awamu hii tupo hoi ibn taaban
Yaani kibu pamoja na kuvuja midamu yote ile bado kafosiwa aingie uwanjani hii ni kutokana na timu kujaa wachezaji vilaza mwanzo mwisho,
Halii hii ilipelekea kibu kushindwa kuendelea na mchezo kwa maumivu makali anayoyapata....kile kikosi kipana kimeenda wapi?
Wala tusitafune maneno. Tatizo sio kocha hakuna usajili wa maana uliofanyika pale na pia wachezaji wengi vipaji vimeshashuka tunahitaji usajili wa maana msimu huu
Hivi kweli MUGALU PRINCE KOPE MUSHIMBA ni mchezaji wa kutumainiwa dakioa 90 kweli?
Zaidi ya nusu saa anarekebisha msuko wake tu si ujinga huu?....mwingine Nyoni tumefungwa yeye anang'ang'ania kuweka vizuri heleni yake ni utu kweli huu?
Hivi onyango bado anastahili pale simba kweli? Mzamilu? Kanoute? Kagere?
Acheni ujinga mpira ni pesa, tieni pesa mkalete wachezaji wa maana si mmepata bilioni 3 nyie?
Utashangaa msimu ujao wanabaki. Kwakweli Simba Ina Viongozi na wachezaji wasiojua dhamani ya klabu.