Simba sajilini wachezaji acheni mambo ya ajabu ndio nini sasa kutaka kumuua kibu Denis

Simba sajilini wachezaji acheni mambo ya ajabu ndio nini sasa kutaka kumuua kibu Denis

Hata ukisajili wachezaji kwa huyu coach ni kazibure.Labda mkasajili wazunngu wenzake.

Ni upumbavu sana timu haina mfumo unaoeleweka,haina first eleven,na visirani vya kizungu vinafukuza wachezaji muhimu kama Morrison na Chama
Acha ujuha wewe. Yaani watovu wa nidhamu waachwe kisa mastaa. Hiyo inakuwa timu au genge la wahuni. Halafu eti Chama, kwa mpira gani alionao pale. Hoja hapa ni kwamba usajili unatakiwa, kulaumu kocha ni upumbavu.
 
Kila dakika wanaumia,Kuna gap kubwa ,Kuna wazeebsana na wavulana yaani ni dhofulihali.
Sina uhakika kama kuumia au majeraha ya mara kwa mara yana uhusiano na umri. Alikuwapo kijana pale Yanga anaitwa Juma Mahadhi. Kuna wakati majeraha yalimuweka nje kwa miaka miwili, na alipotaka kurejea ndio akapotea kabisa
 
Back
Top Bottom