Simba sasa hivi inacheza mpira makande

Mchezo unaoeleweka ni kushinda
 
Hujitambui wewe. Anzisha timu yako ukapike hilo biriani.
 
Tupo hapa..hata kwenye ligi ya nyumbani hii timu itendelea kucheza mpira huohuo. Hata tukiingia makundi hii timu imekuwa mbovu
 
Utopolo ni wewe badala ya kufurahia ushindi unaleta analysis za kijinga. Ulitaka Simba imiliki mpira kama ilivyocheza na Kaizer Chiefs halafu ifungwe magoli manne ili mpate cha kuongea. Hamna akili nyie Utopolo.
Kwahiyo kubutuabutua ndo njia ya ushindi? Mbona As Vita tulimfunga kwao na tulicheza vizuri. Hujui mpira wewe
 
Sasa Lechantre alikuwa na mpira gani ule? Unaweza kumfananisha na Uchebe?
Lechantre....msaidizi wake Akiwa masoud Djuma
3-5-2....ndio mfumo alioutumia. Unasema simba ilikuwa inacheza mpira mbovu...unakumbukumbu vizuri kweli mkuu?
Simba iliyotoka 2-2 na al masry taifa ikatoka
O-0 egypt ( sina hakika hapa) unaiita mbovu?
Unadhani kwanini masoud djuma ni kipenzi cha wanasimba mpaka leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makolo siku hizi kupiga hata pasi tatu ni mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…