Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanadai Simba mbovu ok ngoja tuoneSimba inapata kona ya kwanza, goal kick dilunga kapaisha
Tatizo umri mzeee...Huyuu Bocco anafanya nini Uwanjani?
Hadi sasa tumepigwa wapi kwa Kibu..!?Huyu Kibu Denis tulipigwa
Hapa naangalia na panadol zipo pembeni...Naogopa hata kuangalia mechi maana Simba ya sasa hivi[emoji1544]
Ni wa kawaida sanaHadi sasa tumepigwa wapi kwa Kibu..!?
Ukimlinganisha na nani....Ni wa kawaida sana
Na quality ya kusajiliwa SimbaUkimlinganisha na nani....
Kacheza mechi ngapi akiwa na Simba..!?Na quality ya kusajiliwa Simba
Ukiona mtu anaaacha utani wa kawaida na kwenda kwenye lugha sio ya stara basi ujue umeshindwa utani na unaelekea kwenye ugomvi na mimi sina mood ya ugomvi sina budi kukuepukaNaona unanyege nyingi unataka kufumuliwa leo. Je, wewe ni KE au ME!?
Hana maajabu huo ndio ukweliKacheza mechi ngapi akiwa na Simba..!?