[emoji23][emoji23] huwa anakimbilia kuanzisha uzi alafu haleti updates zozote, anakaa kimya tu.Lengo lako ni kumtangulia ESPRESSO COFFEE kuanzisha uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa anakimbilia kuanzisha uzi alafu haleti updates zozote, anakaa kimya tu.
Ni kweli aisee[emoji23][emoji23] huwa anakimbilia kuanzisha uzi alafu haleti updates zozote, anakaa kimya tu.
By the way hamna anayelipwa kuleta uzi ,kumtangulia mwingine siyo ishu as long updates zinaletwaLengo lako ni kumtangulia ESPRESSO COFFEE kuanzisha uzi
Mh mkuu unamaanisha nini ilihali KMKM ndiye kinara wa ligi ya Zanzibar?Ngoma ya kitoto imeisha jioni hii watoto wameenda kulala,sasa unatafa mziki wa wakubwa.
Hakuna ligi kwa point yako inamaana anayecheza na Simba ni uozo zaidi kuliko KMKMEmbu acha masikhara, sasa Zanzibar kuna ligi gani mkuu ??
Ligi dhaifu inazalisha timu dhaifu na kiwango cha udhaifu unatofautiana mkuuNamaanisha ligi yao ni dhaifu sana, hawawezi ku compete na timu za bara.