Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Sakho kama ataendelea hivi basi tutakua tunauguza majeruhi kila siku.
 
Kadi ya njano pekee haitoshi, mstue na vibao viwili
 
Hawa wasenge mbona wanacheza foul nyingi hivi?
 
Sakho inabidi afanyie mazoezi mipira iliyokufa anzingua sana.
 
Inavyoomesha hawa mlandege sakho walimkalia kikao maana sio kwa foul hizo
 
Wawa ndo amekosa weledi kiasi hiki ?? [emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa kajiangusha mwenyewe hapa asilete janja janja
 
[emoji23][emoji23]
Hii michuano ya mapinduzi wazenji wanacheza jihad sana na hawana Cha kupoteza, kwasababu ligi ya Zanzibar haiko kwenye kalenda za mashirikisho ya kimataifa ikiwemo caf, viongozi wa timu za bara hasa timu yangu pendwa Simba wawe makini sana! Kulinda key players wetu ambao watatusaidia kimataifa! Katika kupanga kikosi kocha awe makini sana, angalizo! Kwasababu ata waamuzi wa zenji viwango vyao viko chini! Matukio Ni mengi ya hatari lakin kadi hakuna! Yaan mpaka mtu afe uwanjani ndo watoe kadi nyekundu...
 
Hii michuano ya mapinduzi wazenji wanacheza jihad sana na hawana Cha kupoteza, kwasababu ligi ya Zanzibar haiko kwenye kalenda za mashirikisho ya kimataifa ikiwemo caf, viongozi wa timu za bara hasa timu yangu pendwa Simba wawe makini sana! Kulinda key players wetu ambao watatusaidia kimataifa! Katika kupanga kikosi kocha awe makini sana, angalizo! Kwasababu ata waamuzi wa zenji viwango vyao viko chini! Matukio Ni mengi ya hatari lakin kadi hakuna! Yaan mpaka mtu age uwanjani ndo watoe kadi nyekundu...
Na wengine pia wanataka waonekane na vilabu vya bara maana mpunga wa zenji mdogo.
 
Back
Top Bottom