rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Simba hawajajifunza kwa tukio la nyoni kuumizwa mapinduzi wakati tunashiriki klabu bingwa, wale mlandege walipania kumvunja sakho na refa alikuwa anawachekea. Kombe lenyewe halina thamani zaidi ya kunufaisha waandaajiMoira ni mipango siyo kukurupuka tu na wachezaji wa kizanzibari ambao bei zao ni kama za kuku wakatuvunjia wachezaji wetu wenye thamani kubwa.
Nitajie mchezaji gani hapo Zanzibar Mwenye thamani kubwa!?