Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingi na chenji zakutoshaMnaoangalia, Simba anaupiga mwingi kama inavyotakiwa? Sitaki kuuliza habari za Mugalu maana hizo nazijua hâta nisipoangalia.
Awa jamaa wanapiga viatu sana,lakini pamoja na hayo Simba wanapiga mpira wa bajeti ya miaka kumi ijayo.Mnaoangalia, Simba anaupiga mwingi kama inavyotakiwa? Sitaki kuuliza habari za Mugalu maana hizo nazijua hâta nisipoangalia.
Huyo jamaa kama sio zile mbwembwe zake za kijinga, mpira anaujua..!Ila gadiel Kawa mtamu siku hizi.
Mkude anapiga backpass nyingi sana...! Kocha halifanyie kazi hili suala ! Ni mchezaji mzuri naweza kusema katika wachezaji waliotulia uwanjani psycho ya mkude iko juu lakini backpass NOO ZIMEZIDI KIWANGO CHA UVUMILIVU..!!Unapigwa wa wastani mkuu, mugalu ame improve nowadays [emoji23]
Gadiel kitambaa Cha u'captain kinamuhukumu! Kocha anajua methali ya mchawi mpe mwanao amlee!!Ila gadiel Kawa mtamu siku hizi.
Sometimes inabidi mkuu, hawa mlandege kuna muda wanapaki basi ni ngumu kupenetrate, hivyo back pass zinatumika kuwavutaMkude anapiga backpass nyingi sana...! Kocha halifanyie kazi hili suala ! Ni mchezaji mzuri naweza kusema katika wachezaji waliotulia uwanjani psycho ya mkude iko juu lakini backpass NOO ZIMEZIDI KIWANGO CHA UVUMILIVU..!!
Hivi mhilu anafanya Nini Simba!???Mlandege wanapata kona
Zenj ni wanachama wa Caf mkuu lkn sio FIFA kwahiyo nao wanahusika kwenye calender.Hii michuano ya mapinduzi wazenji wanacheza jihad sana na hawana Cha kupoteza, kwasababu ligi ya Zanzibar haiko kwenye kalenda za mashirikisho ya kimataifa ikiwemo caf, viongozi wa timu za bara hasa timu yangu pendwa Simba wawe makini sana! Kulinda key players wetu ambao watatusaidia kimataifa! Katika kupanga kikosi kocha awe makini sana, angalizo! Kwasababu ata waamuzi wa zenji viwango vyao viko chini! Matukio Ni mengi ya hatari lakin kadi hakuna! Yaan mpaka mtu afe uwanjani ndo watoe kadi nyekundu...
Aaah huyo jamaa sijui ntakuja kumuamini lini tu, me mpaka leo inatamani Simba Sc isajili straiker mkali asiyecheka na nafasi nyingi ambazo Simba hutengeneza.Daaah kibu ana mavitu, umeona alivyo uchop ule mpira?