Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Boss nakataa utetezi wako, lini umewahi kusikia bingwa wa PBZ league yupo CAFCC!??? Kwasababu mabingwa wa league zote za ndani za Afrika lazima wacheze mabingwa! Hao wazenji Ni wanachama wa CECAFA boss nikukumbushe tuh!!
Kmkm alicheza caf confederation
 
Boss nakataa utetezi wako, lini umewahi kusikia bingwa wa PBZ league yupo CAFCC!??? Kwasababu mabingwa wa league zote za ndani za Afrika lazima wacheze mabingwa! Hao wazenji Ni wanachama wa CECAFA boss nikukumbushe tuh!!
Pole sana fuatilia ujue mambo madogo sana ni aibu kukuona ujui.
 
Mzamkru alichezewa foul, refa akaruhusu mlira uendelee akitafsiri ni fair challenge ila saizi kasimamisha baada ya kuona jamaa hajaamka tangu aangushwe
 
Refa hana akili nimegundua, yaani hiyo spray MDA wote kuishika shika tu,aamini Kama ndo hiyo hiyo inatumika ulaya na yeye ndo anaitumia...
 
Mechi inakosa Radha kutokana na foul za kijinga zinazochezwa na hawa mlandege
Wajinga tu hao watoto, faul zote hizo za nini?

Refa nae kashindwa kabisa kuutuliza huu mchezo sijui kasomea wapi tu, mechi kama hii kuituliza inatakiwa unagawa kadi za njano kama 3 kwa kila anaecheza faulo za kudhamiria, uone kama hawajatulia kwa kuhofia RED.

kuwalea kijinga hivyo ni kuharibu tu mpira.
 
Mechi ya midebwedo sanko ni kituko anacheza segere siyo mpira.!
 
Hivi Wawa yupo serious kweli ??
 
Wajinga tu hao watoto, faul zote hizo za nini?

Refa nae kashindwa kabisa kuutuliza huu mchezo sijui kasomea wapi tu, mechi kama hii kuituliza inatakiwa unagawa kadi za njano kama 3 kwa kila anaecheza faulo za kudhamiria, uone kama hawajatulia kwa kuhofia RED.

kuwalea kijinga hivyo ni kuharibu tu mpira.
Refa wa mchongo
 
Back
Top Bottom