Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Hivi bwana Franco anajiona nani? Huyu kocha aache upumbavu bangi zake aache hukohuko alikotoka kama anahasira sana ajiuzuru akalime viazi ulaya pumbaf
Embu tulia jikoni upike tusije kulala njaa, tukitoka kuangalia soka safiiii la mnyama.
 
Hivi bwana Franco anajiona nani? Huyu kocha aache upumbavu bangi zake aache hukohuko alikotoka kama anahasira sana ajiuzuru akalime viazi ulaya pumbaf
Mwacheni kabisa kocha wetu mpira gani usiofuata Sheria wakati tuna mashindano makubwa yaliyokwekewa malengo
 
Hivi bwana Franco anajiona nani? Huyu kocha aache upumbavu bangi zake aache hukohuko alikotoka kama anahasira sana ajiuzuru akalime viazi ulaya pumbaf
Umeshindwa kuvumilia dakika 90 tuh kuonyesha upumbavu wako! Yaani lazima uto mjitambulishe tuh kuwa mpo hata Kama Ni unnecessary!???
 
Mpemba kakaza kipindi cha kwanza,, ngoja tummezee mate ya akili alafu turudi ndo atajua au hajui
 
Hii game inabidi refa afanyanye namna aisee.Hivi hivi wachezaji hawatoboi.
 
Mchezaji gani wa utopolo anafika japo robo ya kiwango cha sakho ??
Ni mapema sana kuamua mkuu.

Ni kama ile scenario uliyoileta ya Mayele vs Kagere.

Let number decide.

Punguza ngenga.
 
Njano ya kaze ni kihele hele chake mwenyewe, ila Pablo ana point.
Kaze baada ya kupewa second chance utopoloni, anajifanya chawa pro max wa yanga! Naye ni mpumbavu mmoja tu...!! Kula umeme stahiki yake...
 
Majamaa wanacheza sana mpira wa kihuni,kuna yule beki anayekunja mguu jezi anacheza sana rafu mbaya ,alianza kwa Sakho na akapata kadi ,akamchezea tena Mzamiru angepata kadi ya njano ya pili
 
Ni mapema sana kuamua mkuu.

Ni kama ile scenario uliyoileta ya Mayele vs Kagere.

Let number decide.

Punguza ngenga.
Mpira ni mchezo wa wazi mkuu, na kiwango hakijifichi.
 
Kaze baada ya kupewa second chance utopoloni, anajifanya chawa pro max wa yanga! Naye ni mpumbavu mmoja tu...!! Kula umeme stahiki yake...
Hata alichokua akipiga kelele hakijulikani.
 
Back
Top Bottom