Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Simba SC 0-0 Mlandege FC | Mapinduzi cup| Zanzibar

Utopolo mjue kwamba baada ya mechi ya leo mnaenda kukutana na Azam
 
Yaani hata mechi za mapinduzi GSS anaweka pesa kwa wapinzani ni hatari sana.
Hizi rafu ni za mchongo wa pesa kabisa.
 
Vipi ile battle ya Mayele vs Kagere bado ipo au ume i pause?
Niliwahi kusema wazi kuwa mayele ni straika bora sana, hivyo na nyie inabidi mtoe credit kwa sakho hamna mchezaji wa yanga anayefikia kiwango chake
 
Niliwahi kusema wazi kuwa mayele ni straika bora sana, hivyo na nyie inabidi mtoe credit kwa sakho hamna mchezaji wa yanga anayefikia kiwango chake
Labda wanataka kumfananisha na yule mbavu mbili tuliemuona leo.
 
Mlandege watafanya vurugu ila watapiga goli za kutosha

Ingekuwa simba wameanzisha wachezaji wa kawaida, basi wangetoa hata sare ila ndo hivyo hawana nguvu ya kushindana na timu za Bara
 
Kwa Mara ya kwanza nimemuona prof. Janabi toka kifo Cha mzee! Kwani Ni mzenji...!??
 
Naam kipindi cha pili kimeanza
 
Hii mechi ni nguvu sana ,nachoona matokeo yatakuja kwenye sub zitakazofanywa
 
Hivi aliyechezewa foul ni sakho au Israel Patrick ??
 
Uyu Sakho anachezewa faulo sana hii mechi.

Mnakumbuka faulo alizokua anafanyiwa Merqueson msimu uliopita?.
alikua anabetuliwa mitama anaruka juu juu kabla ajafika chini anakutana na kifuti cha shingo akifika chini anakanyagwa kwenye mbavu.
 
Uyu Sakho anachezewa faulo sana hii mechi.

Mnakumbuka faulo alizokua anafanyiwa Merqueson msimu ulipita?.
alikua anabetuliwa mitama anaruka juu juu kabla ajafika chini anakutana na kifuti cha shingo akifika chini anakanyagwa kwenye mbavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wakitutangulia hata kwa goli moja, sipati picha hilo basi litakavyo pakiwa huko nyuma.
 
Mlandege watafanya vurugu ila watapiga goli za kutosha

Ingekuwa simba wameanzisha wachezaji wa kawaida, basi wangetoa hata sare ila ndo hivyo hawana nguvu ya kushindana na timu za Bara
Hakuna goli za kutosha hapo. Ni goli moja au mbili. Jamaa wanakaba Hadi kivuli
 
Back
Top Bottom