😂😂Ntibayinkiza katio mpira nje nabi kasimama nimemsikia eti kmame we dogo nilikufundisha hivyo?
We mkia inaandikwa "tunawachora" eboohHawa utopolo wameingia wa moto wanataka wafunge mapema kenge hawa hawatoboi maana tunawachola tu
Baadae ataanza kutusumbua sisi wenyewe ni suala la muda tuHuyu wakili msomi atawasumbua sana akitulia