Refa wa mchongoRefaaa nini Sasaaaaaa
Au katumwa?
agh!
Sipo uwanjani nipo tu ndani nacheki, btw unaona the so called utopolo wanavyocheza mpira bila wasi wala kupanikiKwanza hujalipa kiingilio
Japombe alikua anaenda kufunga, ghafla refa kapiga filimbi, sio faulo, sio offside hatujui nini tatizo