Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Credit kwa Kocha Pablo kwakuja na game plan nzuri na kuweza kuwazuia Yanga kipindi cha kwanza wasipate goli, tuone kipindi cha pili watakujaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafute namna bora ya kuwa enzi kina onyango na enonga, mwenye wazo la sanamu anicheki mi nitachangia cement
waongezewa salaryTutafute namna bora ya kuwa enzi kina onyango na enonga, mwenye wazo la sanamu anicheki mi nitachangia cement
waongezewa salaryTutafute namna bora ya kuwa enzi kina onyango na enonga, mwenye wazo la sanamu anicheki mi nitachangia cement
Dooh nilisha hesabu goli lile ila Onyango aliko tokea kama mzimu hatari sana ile.eeeeeh eeeh aisee ilikua hatari hapo manula alitoka golini, bila onyango hapo ingekua shida
Hahahaha nacho furahi hamna plan ya kupata goli Ila kuwazuia yanga tu maana uwezo kwenu ni mdg mnoCredit kwa Kocha Pablo kwakuja na game plan nzuri na kuweza kuwazuia Yanga kipindi cha kwanza wasipate goli, tuone kipindi cha pili watakujaje
Pasi za aina gani?Mpaka sasa naona wananchi wanaongoza kwa pasi...
Hahaha kwa kuzuia mashambulizi maana fwd za yanga ni hatari onyango kala tobo kaona bora Kadi tuTutafute namna bora ya kuwa enzi kina onyango na enonga, mwenye wazo la sanamu anicheki mi nitachangia cement
Ndio maana nikasema ngoja tuone second half mwl atakuja na approach gani?Hahahaha nacho furahi hamna plan ya kupata goli Ila kuwazuia yanga tu maana uwezo kwenu ni mdg mno
Ndio hapo nasisi mashabiki tunatakiwa moments kama hizi tuwe tunazikumbuka pale ambapo siku hiyo mchezaji anacheza chini ya kiwangoDooh nilisha hesabu goli lile ila Onyango aliko tokea kama mzimu hatari sana ile.
hahahaha Babu Onyango Leo mtaalamu kamnyoa para nakupaka dawa Leo Misukule haitoboi pale hata ilogee kilingeni msata!Joash Onyango🔥🔥🔥
Hana approach mkuu wala usijipe moyo mechi hii simba kushinda ni bahati ila kimbinu na uwezo yuko chini sanaNdio maana nikasema ngoja tuone second half mwl atakuja na approach gani?
Sasa acheze bila kuzuia?Utopolo mnatumia nini kufikiri?Hahahaha nacho furahi hamna plan ya kupata goli Ila kuwazuia yanga tu maana uwezo kwenu ni mdg mno