zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Hahahaha leo draw nyau anashangilia kumbe moyoni mlikuwa mnajua tuna waua nyingiLeo umemwita mayele nyau
Daah kweli kacheza kiwango ambacho kila mtu kafika level ya mwisho ya uvumilivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha leo draw nyau anashangilia kumbe moyoni mlikuwa mnajua tuna waua nyingiLeo umemwita mayele nyau
Daah kweli kacheza kiwango ambacho kila mtu kafika level ya mwisho ya uvumilivu
Mimi nina shida na team Mayele leo, wako wapi mkuu mbona siwaoni kumfagiliaDuuuu Yaani Simba Yetu tuliokuwa tunaaminishwa ni Mbovu sanaaa imekuaje? Ngoja Next week Dirisha Lifunguliwe… Derby ijayo mtu atakufa 3
Oooh fyoko fyoko Auchoo.....akawatambie viazi wenzake huko.Leo nyau anashangilia draw hahahah
Kweli yanga anatisha
Aibuuuu aibuuuu aibuuuuu yenun Topolo fc oooh Simba hii simba hii mbona hamjaifunga sasa hivi mmeshaanza kubwabwaja tena hahaahhaahhaUko sahihi bila kubanwa walikuwa na goli Kuanzia 3
Leo simba ya kushangilia droo hahahah
Jipeni moyo ila cha moto mmekiona.
Saikolojia inasema Kwamba dalili ya kichaa kuanza kupanda kichwani ni kushabikia timu ya simba. Yaani mwanaume uliekamilika wa mkoani unashabikiaje simba kwa mfanoNchi gani ulisikia kuna mfalme wa kike? Simba ni mfalme wa nyika
Mbumbumbu hao mkuuYa KUOA yametoka wapi. Yeye kasema mwanamme wa mechi. Wadada wengine bhana!
Kwa furaha hiyo kabla hata sijapitia posts zako zingine, nina uhakika lazima utakuwa Kolo tu wewe, bisha?!Hahaaaaa game umekwishaaaaaaaaaaaaaaaa
Mbona wewe unafunga si unajinasibu uko kimataifa mbona hamna kituAibuuuu aibuuuu aibuuuuu yenun Topolo fc oooh Simba hii simba hii mbona hamjaifunga sasa hivi mmeshaanza kubwabwaja tena hahaahhaahha
nilivyoona limeingia matumaini ya kupata goli yakaishakuna wakati huwa namuombea injury
Haya nyie kenge blue, pendekezeni mnata tuanze kumjadili mayele au aucho?
Mpira uligusa nyavu ya nje haukuingia nyavuni ndaniNje ujaona jamaa alikuwa anashangilia
Watu wengi tulikosa imani naye alipoanza first 11, hapo ndo narejea ile kauli yangu kua sisi mashabiki tumegubikwa na wishfully thinking based on personal experienceKwangu mimi Kanoute ameupiga mwingi
Hayo ni maneno tuu hata kwny khanga yapo..pale unaposhabikia timu ilokosa ubingwa mara nne 4 mfululizo kama wamepungukiwa nguvu za kiume vile ni ujinga. Mimi najivunia kuwa mshabiki wa Simbaaa.Saikolojia inasema Kwamba dalili ya kichaa kuanza kupanda kichwani ni kushabikia timu ya simba. Yaani mwanaume uliekamilika wa mkoani unashabikiaje simba kwa mfano
Mbumbumbu hao mkuu
Sasa kazi ya beki ni nini?Sahihi unaachaje mpa onyango kwa kuzuia mashambulizi yale
Sasa mbona unaleta utani wa kweli we koloHayo ni maneno tuu hata kwny khanga yapo..pale unaposhabikia timu ilokosa ubingwa mara nne 4 mfululizo kama wamepungukiwa nguvu za kiume vile ni ujinga. Mimi najivunia kuwa mshabiki wa Simbaaa.
Tunawashangaa nyie ambao mlijitanabaisha kuwa simba mtaifunga mbona hamjaifunga sasa maana mlikua na mbwembwe ooh kwa simba hii tutajizolea magoli kiko wapiii. Simba is anaza my broMaajabu hayaishi duniani! Yaani Klabu inayoshika " Namba 5 kwa ubora Afrika" inafurahia sare!!
Mechi ya leo Bernard Morrison alitakiwa apewe red card na lile goli lilokataliwa ni halali.
Yanga leo walikosa match fitness huwezi kukaa wiki mbili bila kucheza, halafu utegemee kuperform, TFF kwenye ratiba zao wana chemka sana, hawaja jifunza mwaka jana kwa Simber Kaizer Chief.
Huwezi fananisha kamwe Onyango hafiki hata leo hajafanya ku kaba ni vile Mayele anateleza anachukua mpira sio kukaba vileSasa kazi ya beki ni nini?
We ubnafikiri onyango utafananisha na lile shati mnaliita Aucho?