Kila idara Simba alizidiwa, au huangalii takwimu za mchezo unabishana tu??? Simba wamezidiwa mno kuliko unavyodhania wewe, tunawasifu Onyango na Inonga kwa sababu timu ilikuwa inashambuliwa. Ball Possession SIMBA amezidiwa vipindi vyote viwili, afu unakuja hapa unashangilia asee tuna safari ndefu sana ya kimpira.Simba ilizidiwa kila idara, una hakika kwamba aliyekusimulia aliangalia mpira?
Wewe topolo statistics never lies... na zinaonyesha Utopolo ndiyo ilizidiwa... acha kujitekenya.Kila idara Simba alizidiwa, au huangalii takwimu za mchezo unabishana tu??? Simba wamezidiwa mno kuliko unavyodhania wewe, tunawasifu Onyango na Inonga kwa sababu timu ilikuwa inashambuliwa. Ball Possession SIMBA amezidiwa vipindi vyote viwili, afu unakuja hapa unashangilia asee tuna safari ndefu sana ya kikimpira.
Anayeshangilia draw ni nani?Ni mbwa wenu aliyewasaidia kupata droo. Na ndio maana kimataifa hamuwezi pata chochote, kwani kule uchawi hauna chake.
Hizi ni takwimu zako Hadi kipindi cha 2 mmezidiwa ball possession, zaidi mlichoongoza ni fauloWewe topolo statistics never lies... na zinaonyesha Utopolo ndiyo ilizidiwa... acha kujitekenya.
Total Shoots On target 3 vs Utopolo 2
Total Shoots Off target 7 vs Utopolo 3
Ball Possession kipindi cha pili 58% vs Utopolo 42%
TP Mazembe amechukua CAFCL mara tano.Al Ahly Ni mwenzetu kitambo sana. Tp mazembe NK
Saiz yenu kina Zanaco.
Hizi stats za ball possession Ni za kubumba kama lile kibarua lenu la CUFWewe topolo statistics never lies... na zinaonyesha Utopolo ndiyo ilizidiwa... acha kujitekenya.
Total Shoots On target 3 vs Utopolo 2
Total Shoots Off target 7 vs Utopolo 3
Ball Possession kipindi cha pili 58% vs Utopolo 42%
Takwimu za ku possess mpira?Kila idara Simba alizidiwa, au huangalii takwimu za mchezo unabishana tu??? Simba wamezidiwa mno kuliko unavyodhania wewe, tunawasifu Onyango na Inonga kwa sababu timu ilikuwa inashambuliwa. Ball Possession SIMBA amezidiwa vipindi vyote viwili, afu unakuja hapa unashangilia asee tuna safari ndefu sana ya kimpira.
It doesn't matter.Takwimu za ku possess mpira?
Ambazo yanga walikua wanacheza kwenye eneo lao?
Hizi n takwimu zako Hadi kipindi cha 2 mmezidiwa ball possession, zaidi mlicho ongoza ni faulo
Hahahaha umeandika kama kwenu tuu ndo kuna Azam tvNimeangalia mpira kwa umakini sana. Simba walikuwa wanapoteza mipira hovyo kuliko Yanga, hata kipindi cha pili Simba bado hawakufanya shambulizi lolote la maana golini kwa Yanga zaidi ya Shuti moja la Kanoute, nadhani watu wameona ameperform kisa tu kupiga shuti lile, ila katikati Simba hawakuwa vizuri na hata Kanuote amepoteza mipira mingi sana. Simba wamecheza rafu nyingi zaidi ya Yanga hii inaonesha ni jinsi gani walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulizi.
Onyango amefanya kazi nzuri sana kwa kumdhibiti Mayele na sio INONGA.
Next game Simba isirudie makosa kuwaanzisha MORRISON, KIBU, DILUNGA NA KAGERE kwa pamoja, walikuwa mzigo mzito kwa viungo wakabaji wa Simba maana hawawezi kukaba pindi mpira unakuwa kwa YANGA.
Kwa ujumla mechi ilikuwa nzuri tena sana, refa kachezesha vizuri, makosa yaliyopo ni ya kibinadamu tu.
Hizo takwinu za Ball Possession ni umeokota huko, ila Yanga walidominate game mwanzo mwisho. Na kama Simba wangeongoza kwa kiwango hiko unachosema wewe basi OVERALL BALL POSSESSION ANGEONGOZA YEYE.Wewe topolo statistics never lies... na zinaonyesha Utopolo ndiyo ilizidiwa... acha kujitekenya.
Total Shoots On target 3 vs Utopolo 2
Total Shoots Off target 7 vs Utopolo 3
Ball Possession kipindi cha pili 58% vs Utopolo 42%
Wewe topolo statistics never lies... na zinaonyesha Utopolo ndiyo ilizidiwa... acha kujitekenya.
Total Shoots On target 3 vs Utopolo 2
Total Shoots Off target 7 vs Utopolo 3
Ball Possession kipindi cha pili 58% vs Utopolo 42%
Umeziona takwimu za azam unajua zinasemaje nenda kaangalie alafu urudi hapaHizi ni takwimu za "Opta ya tz" (i.e. Azam). Na takwimu hazisemi uongo ndugu.
Kama simba ilizidiwa kwanini kipa wa utopolo alikuwa akipoteza mudaSimba ilizidiwa kila idara, una hakika kwamba aliyekusimulia aliangalia mpira?
Ball possession full time Ilikua ni 51 kwa 49, kama uliangalia mpira utakubaliana na mimi kuwa hizo 49 Simba wame possess kuelekea mbele na yanga walikua wakicheza kwenye eneo lao bila manufaa yeyote baada ya wakina Aucho kuzidiwa eneo la katikati, hivyo walikua wakijaribu kuwavuta Simba ili wapige mipira mirefu.Kila idara Simba alizidiwa, au huangalii takwimu za mchezo unabishana tu??? Simba wamezidiwa mno kuliko unavyodhania wewe, tunawasifu Onyango na Inonga kwa sababu timu ilikuwa inashambuliwa. Ball Possession SIMBA amezidiwa vipindi vyote viwili, afu unakuja hapa unashangilia asee tuna safari ndefu sana ya kimpira.
Yanga ameposses zaidi kwenye eneo lake baada ya kuzidiwa eneo la kati na akina sadio kanoute na Mkude, hivyo wakaanza kupiga pass nyingi kwenye eneo lao ili kuwavuta Simba alafu wapige mipira mirefu, hivyo tuachane na ball possession sababu haina maana yeyote kama unaposses kwenye eneo lako. Twende kwenye attempts ambapo simba ame-attempt mara nyingi zaidi ya yanga hii inamaana kwamba Simba ameshambulia zaidi ya yanga.Hizo takwinu za Ball Possession ni umeokota huko, ila Yanga walidominate game mwanzo mwisho. Na kama Simba wangeongoza kwa kiwango hiko unachosema wewe basi OVERALL BALL POSSESSION ANGEONGOZA YEYE.
USHABIKI KAMA HUU NDIO TUNAITA USHABIKI MAANDAZI.
Takwimu za mchezo hizi hapa.View attachment 2041165View attachment 2041166
[emoji23][emoji23] akijibu nitag mkuuKama simba ilizidiwa kwanini kipa wa utopolo alikuwa akipoteza muda
We mzima lakini? Yaani wamiliki mpira golini kwao afu wazidi kwa KONA?? WAZIDIWE KWA FAULO?? Uko timamu kichwani wewe??.Yanga ameposses zaidi kwenye eneo lake baada ya kuzidiwa eneo la kati na akina sadio kanoute na mkude, hivyo wakaanza kupiga pass nyingi kwenye eneo lao ili kuwavuta Simba alafu wapige mipira mirefu, hivyo tuachane na ball possession sababu haina maana yeyote kama unaposses kwenye eneo lako. Twende kwenye attempts ambapo simba ame-attempt mara nyingi zaidi ya yanga hii inamaana kwamba Simba ameshambulia zaidi ya yanga.
Aliyekuhadithia una uhakika aliangalia mpira??We mzima lkn? Yaan wamiliki mpira golini kwao afu wazidi kwa KONA?? WAZIDIWE KWA FAULO?? Uko timamu kichwani wewe??.
Tofauti ya 2% is a statistical tie. Kuzidiwa kuko wapi hapo? Tofauti ya Shoots ni kubwa (50%) zaidi ya utopolo, ndiyo maana tunasema utopolo mlizidiwa.Hizo takwinu za Ball Possession ni umeokota huko, ila Yanga walidominate game mwanzo mwisho. Na kama Simba wangeongoza kwa kiwango hiko unachosema wewe basi OVERALL BALL POSSESSION ANGEONGOZA YEYE.
USHABIKI KAMA HUU NDIO TUNAITA USHABIKI MAANDAZI.
Takwimu za mchezo hizi hapa.View attachment 2041165View attachment 2041166
Tafuta stats za 2nd half halafu urudiUmeziona takwimu za azam unajua zinasemaje nenda kaangalie alafu urudi hapa